KUELEKEA siku ya kuchangia damu duniani, Hospitali ya Sanitas iliyopo Mikocheni imeandaa kambi ya kuchangia damu ambayo ilifanyika siku ya jumanne, Juni 13 2017. Katika kambi hiyo jumla ya chupa za damu 50 zilikusanywa ambapo wachangiaji walikuwa ni wafanyakazi wa hospitali hiyo na baadhi ya watu kutoka nje ambao walijumuika na wafanyakazi hao hao kwa ajili a uchangia damu kwa …
Ripoti ya Mchanga wa Makontena ‘Wawasomba’ Vigogo, Yumo Chenge, Ngeleja na Mwanyika…!
WAKATI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli akikabidhiwa ripoti ya pili ya Kamati Maalum ya Kuchunguza Masuala ya Kisheria na Kiuchumi Kuhusiana na Mchanga wenye Madini unaosafirishwa nje ya nchi yakiwemo makontena 277 yaliyozuiliwa na Serikali katika Bandari ya Dar es Salaam, baadhi ya viongozi waliotajwa kuhusika kwa namna moja ama …
Wanaharakati 42 Wafanikiwa Kufika Kileleni, Mlima Kilimanjaro
Timu ya Wanaharakati 86 kutoka taasisi na kampuni mbalimbali walioshiriki changamoto ya kupanda Mlima Kilimanjaro kwa ajili ya kuchangisha fedha za kusaidia mapambano dhidi ya Ukimwi wakishuka kutoka katika kilele cha Uhuru. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Anna Mngwira akijiandaa Timu ya Wanaharakati wakati wakishuka kutoka kilele cha Uhuru, Mlima Kilimanjaro. Mkurugenzi wa Kampuni ya Utalii ya Zara ,Zainabu Ansel (katikati) …
Samatta Apongeza SBL kwa Udhamini wa Taifa Stars
Waandishi wa habari wakichukua matukio katika mkutano huo uliofanyika mapema mwishoni mwa wiki iliyopita. Na Mwandishi Wetu MCHEZAJI soka wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Sammata ameihakikishia kampuni ya Bia ya Serengeti ambayo ni wadhamini wa timu ya taifa Taifa Stars kwamba wachezaji wa timu hiyo watajituma ili kuhakikisha kuwa wanashinda mechi zote walizopangiwa kwenye ratiba. Samatta ambaye ni nahodha …