Barabara ya Loliondo – Mto wa Mbu Kujengwa kwa Lami
SERIKALI imesema ipo katika hatua za mwisho za kuanza ujenzi wa Barabara ya Loliondo- Mto wa Mbu yenye urefu wa KM 218 itakayojegwa kwa kiwango cha lami ili kurahishisha usafiri na usafirishaji wa mizigo kwa wananchi wa mikoa ya Mara, Manyara, Arusha na Mwanza. Hayo yamesemwa na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa katika kijiji cha …
Ridhiwani Kikwete na Kauli ya Matumaini kwa Wasanii Tanzania
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze, Mh. Ridhiwani Kikwete amesema anatamani kuona kazi za wasanii wa Tanzania zinatambuliwa na wasanii hao kupata faida juu ya kazi wanazofanya. Ameongeza kuwa anapenda kuona Wanamuziki wa Tanzania wakifanya vizuri na huku wakinufaika na kazi zao na kukuza soko la Muziki huo Kimataifa. Mbunge huyo amesema hayo alipokua Mgeni rasmi katika uzinduzi wa Video ya …
Gari la Mbunge ‘Sugu’ wa Chadema Lauwa
Na Emanuel Madafa, JamiiMoja Mbeya MKAZI wa Iyunga jijini Mbeya ambaye amefahamika kwa jina moja la Rechal (13) amefariki dunia mara baada ya kugongwa na gari, namba T161 CPP Toyota LandCruiser inayodaiwa kumilikiwa na Mbunge wa Jimbo la Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi maharufu kwa jina la (SUGU), kwenye kivuko cha barabara (ZEBRA) na kumsababishia kifo chake papo hapo. Tukio hilo …