Serikali Yatenga Fungu Kukamilisha Ujenzi Uwanja wa Ndege Terminal 111
SERIKALI imesema itatoa fedha kwa ajili ya kukamilisha sehemu ya pili ya mradi wa ujenzi wa Jengo la Abiria la Tatu la abiria (Terminal III) katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam ili kuboresha huduma za usafiri wa anga nchini. Akizungumza mara baada ya kukagua mradi huo Waziri Prof. Makame Mbarawa amesema …
HakiElimu yazindua Mpango Mkakati wa Miaka Mitano 2017-2021
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taasisi ya Hakielimu, Martha Qorro (kushoto) na Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Katarina Rangnitt (wa pili kulia) wakifungua kitambaa kuashiria uzinduzi wa mpango mkakati wa miaka mitano wa Hakielimu jijini Dar es Salaam. Kulia akishuhudia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hakielimu, John Kalage. Mkurugenzi Mtendaji wa Hakielimu, John Kalage akizungumza na wageni waalikwa …