Karibu Kisiwani Zanzibar…!

Usafiri wa jumuia mjini Zanzibar bado zinatumika gari ‘maarufu’ kama “Chai Maharage” ambazo bodi lake limeandaliwa mahususi kwa ubebaji abiria. Raha ya usafiri huu abiria hukaa kwa kuangaliana tofauti na ilivyo kwa usafiri wa jumuia kwa Jiji la Dar es Salaam na miji ya mikoa mingine mingi ya Tanzania Bara, ambapo hutumika gari maarufu kama ‘daladala’. Angalia picha ya gari …