*Ziara ya mtandao wa dev.kisakuzi.com mkoani Arusha kuangalia huduma za msingi kwa watu wenye ulemavu wilayani Arumeru kwa ufadhili wa Kituo cha Habari Kuhusu Ulemavu (ICD)
Kilimanjaro Marathoni zazidi kuongeza washiriki
Na Mwandishi Wetu MBIO za kujifurahisha za kilometa 5 za (Vodacom 5KM fun run) ambazo ni sehemu ya mbio za Kilimanjaro Marathoni zimezidi kujizolea umaarufu na watu wengi rika tofauti kujitokeza kushiriki kwenye mashindano hayo yaliyofanyika juzi mjini Moshi mkoani Kilimanjaro. Kwa mujibu wa Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano wa kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania ambao ndio wadhamini …