Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 85

Category: Michezo

Kocha wa Aston Villa Asusia Timu

Posted on: March 31, 2016 - Yohana Chance
Kocha wa Aston Villa Asusia Timu

Kocha wa kilabu ya Aston Villa Remi Garde ameondoka katika kilabu hiyo kupitia maelewano baada ya kukinoa kikosi hicho kwa siku 147 katika kilabu hiyo…

Continue Reading....

Yanga, Azam Kusaka Tiketi ya Nusu Fainali Kesho Kombe la Shirikisho

Posted on: March 30, 2016March 30, 2016 - Yohana Chance
Yanga, Azam Kusaka Tiketi ya Nusu Fainali Kesho Kombe la Shirikisho

Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup) linatarajiwa kuendelea kesho Alhamisi kwa michezo miwili kuchezwa katika hatua ya robo fainali ya michuano hiyo. Azam FC…

Continue Reading....

Serengeti Boys Kuitolea Uvivu Wamisri

Posted on: March 30, 2016 - Yohana Chance
Serengeti Boys Kuitolea Uvivu Wamisri

Kikosi cha Serengeti Boys kinachonolewa na makocha Bakari Shime na Sebastian Mkomwa wakishauriwa na Jan Poulsen, kimeendelea na mazoezi katika uwanja wa Karume, zilipo ofisi…

Continue Reading....

Uwanja wa Camp Nou Kubadilishwa Jina

Posted on: March 29, 2016 - Yohana Chance
Uwanja wa Camp Nou Kubadilishwa Jina

Kumetokea mgawanyiko wa maoni katika klabu ya Barcelona kuhusu wazo la kuupa uwanja wao unaotarajiwa kufanyiwa marekebisho makubwa wa Camp Nou, jina la nahodha wa…

Continue Reading....

Kambi ya Stars Yavunjwa Baada ya Chad Kujitoa

Posted on: March 29, 2016 - Yohana Chance
Kambi ya Stars Yavunjwa Baada ya Chad Kujitoa

TIMU ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imevunja kambi na wachezaji wameruhusiwa kurejea kwenye klabu zao. Tanzania ilikuwa icheze na Chad kesho Uwanja…

Continue Reading....

Mourinho Aanza Kazi Manchester United Kabla ya Kukabidhiwa Timu

Posted on: March 29, 2016 - Yohana Chance
Mourinho Aanza Kazi Manchester United Kabla ya Kukabidhiwa Timu

Meneja wa zamani wa Chelsea, Jose Mourinho anadaiwa kuanza kujipanga na Manchester United kama atachukua nafasi ya Louis van Gaal. Kwa mujibu wa jarida la…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari