Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 81

Category: Michezo

Yanga Mbele Kwa Mbele, Azam Daaah ndio Basi Tena

Posted on: April 3, 2016 - Yohana Chance
Yanga Mbele Kwa Mbele, Azam Daaah ndio Basi Tena

Klabu ya Yanga imefanikiwa Kuibuka na Ushindi na kujiweka katika mazingira mazuri ya kutetea ubingwa wake wa Ligi Kuu Tanzania Bara Baada ya kuilaza Kagera…

Continue Reading....

Manchester United Wailaza Everton

Posted on: April 3, 2016 - Yohana Chance
Manchester United Wailaza Everton

Manchester United Imefanikiwa kuibuka na ushindi dhidi ya Everto katika Mwendelezo wa Ligi kuu kwa ushindi wa bao 1-0 lililofugwa dakika ya 54 na Martial

Continue Reading....

kashfa ya Matumizi ya Madawa Yatua Ligi Kuu ya Uingereza

Posted on: April 3, 2016April 4, 2016 - Yohana Chance
kashfa ya Matumizi ya Madawa Yatua Ligi Kuu ya Uingereza

Serikali ya Uingereza imeanzisha uchunguzi wa dharura kufuatia ufichuzi kuwa wachezaji nyota wa kandanda nchini Uingereza wamekuwa wakitumia madawa yaliyopigwa marufuku ya kuongeza nguvu mwilini.…

Continue Reading....

Ratiba Ligi Kuu Tanzania Bara Yabadilika

Posted on: April 3, 2016 - Yohana Chance
Ratiba Ligi Kuu Tanzania Bara Yabadilika

Mchezo kati ya Young African dhidi ya Mtibwa Sugar uliokuwa uchezwe Jumatano ya April 6, 2016 umesogezwa mbele na sasa utachezwa tarehe 16 Aprili 2016…

Continue Reading....

TFF Yatembeza Rungu kwa Wapanga Matokeo, Yaliyowakuta Wengine……..

Posted on: April 3, 2016 - Yohana Chance
TFF Yatembeza Rungu kwa Wapanga Matokeo, Yaliyowakuta Wengine……..

Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) chini ya Makamu Mwenyekiti Wakili, Jerome Msemwa leo imetoa maamuzi ya shauri la upangaji…

Continue Reading....

Duuu Mashabiki wa Leicester City Wapewa Pombe

Posted on: April 3, 2016 - Yohana Chance
Duuu Mashabiki wa Leicester City Wapewa Pombe

Mashabiki wa vinara wa ligi kuu ya Uingereza Leicester City walioingia uwanjani hivi leo kuishabikia dhidi ya Southampton walipewa kopo la pombe au Kitumbua mlangoni.…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari