Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 76

Category: Michezo

Mbivu na Mbichi Kujulikana Leo Ligi ya Mabingwa Ulaya

Posted on: April 12, 2016 - Yohana Chance
Mbivu na Mbichi Kujulikana Leo Ligi ya Mabingwa Ulaya

Mechi za Marudiano za Robo Fainali ya michuano ya Uefa zinaendelea tena Jumanne na jumatano kwa michezo minne, ambapo jumanne kutachezwa mechi mbili. Manchester City…

Continue Reading....

Askari Polisi Watanda Ofisi za Soka la Nigeria

Posted on: April 11, 2016April 11, 2016 - Yohana Chance
Askari Polisi Watanda Ofisi za Soka la Nigeria

Maafisa wa polisi wamezingira afisi za shirikisho la Soaka la Nigeria NFF katika mji mkuu wa Abuja. Maafisa wa kupambana na ghasia wakiwa wamevalia magwanda…

Continue Reading....

Droo ya Nusu Fainali Kombe la Shirikisho Kufanyika Kesho

Posted on: April 11, 2016April 11, 2016 - Yohana Chance
Droo ya Nusu Fainali Kombe la Shirikisho Kufanyika Kesho

Droo ya Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup), inatarajiwa kufanyika kesho Jumanne saa 3 usiku moja kwa moja (live) kupitia kituo…

Continue Reading....

Azam Bwana! Eti Wanaenda Tunisia Kumaliza Kazi

Posted on: April 11, 2016April 11, 2016 - Yohana Chance
Azam Bwana! Eti Wanaenda Tunisia Kumaliza Kazi

Michuano ya kombe la shirikisho Afrika imeendelea tena jana Jumapili kwa michezo kadhaa ,Azam fc wakicheza nyumbani Azam complex jijini Dar es salaam walifanikiwa kuwachapa…

Continue Reading....

Hakuna wa Kumzuia Leicester City Kubeba Ndoo

Posted on: April 11, 2016 - Yohana Chance
Hakuna wa Kumzuia Leicester City Kubeba Ndoo

Ligi kuu ya soka ya Uingereza imeendelea tena jumapili kwa michezo mitatu ,Sunderland wakicheza nyumbani dhidi ya vinara wa ligi Leicester city, waliambulia kipigo cha…

Continue Reading....

Yanga Yatolewa Jasho na Al Ahly, Azam Kurudisha Heshima Kesho

Posted on: April 9, 2016 - Yohana Chance
Yanga Yatolewa Jasho na Al Ahly, Azam Kurudisha Heshima Kesho

Timu ya Yanga SC imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Al Ahly ya Misri katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari