Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 75

Category: Michezo

TFF Yawakumbuka Mashabiki Kwa Sapoti Yao

Posted on: April 13, 2016 - Yohana Chance
TFF Yawakumbuka Mashabiki Kwa Sapoti Yao

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limewapongeza viongozi, mashabiki, wachezaji wa vilabu na timu za Taifa kwa kufanya vizuri katika michezo mbalimbali ya kimataifa…

Continue Reading....

Manchester City Waing’oa PSG, Ronaldo Apiga Hattrick UEFA

Posted on: April 13, 2016April 13, 2016 - Yohana Chance
Manchester City Waing’oa PSG, Ronaldo Apiga Hattrick UEFA

Timu ya soka ya Manchester city imefanikiwa kusonga mbele katika hatua ya nusu fainali ya Michuano ya klabu bingwa barani ulaya baada ya kuwafunga PSG…

Continue Reading....

Soma Hapa Ratiba ya Kombe la Shirikisho

Posted on: April 13, 2016 - Yohana Chance
Soma Hapa Ratiba ya Kombe la Shirikisho

Droo ya Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup) imefanyika usiku wa jana huu moja kwa moja (live) kupitia kituo cha luninga…

Continue Reading....

Rais Kenyatta Aahidi Kutimiza Matakwa ya WADA

Posted on: April 12, 2016 - Yohana Chance
Rais Kenyatta Aahidi Kutimiza Matakwa ya WADA

Kenya itatimiza muda wa mwisho wa mwezi Mei kufuata mfumo wa shirika linalopambana na matumizi ya madawa ya kuongeza nguvu misuli, WADA na kuepuka vikwazo…

Continue Reading....

Wasii wa Filamu Kuigiza Filamu Katika Hifadhi za Taifa

Posted on: April 12, 2016 - Yohana Chance
Wasii wa Filamu Kuigiza Filamu Katika Hifadhi za Taifa

Wasanii wa Filamu nchini kote wametakiwa kutumia mandhari za asili zilizoko katika maeneo ya hifadhi za taifa kwenye shughuli zao za kurekodi filamu badala ya…

Continue Reading....

Biashara ya Simba Kwishaaaaaaaaaaaa

Posted on: April 12, 2016 - Yohana Chance
Biashara ya Simba Kwishaaaaaaaaaaaa

Hatua ya Robo fainali ya mwisho ya michuano ya Kombe la Shirikisho Tanzania (Federation Cup) imepigwa jana kati ya Coastal Union dhidi ya Simba katika…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari