Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 74

Category: Michezo

Dogo Aipeleka Manchester United Nusu Fainali ya FA

Posted on: April 13, 2016 - Yohana Chance
Dogo Aipeleka Manchester United Nusu Fainali ya FA

Mchezaji chipukizi Marcus Rashford ametupia bao la kwanza katika mchezo wa FA kati ya Man U na West Ham na kufanikiwa kushinda kwa 2-1Uwanja wa…

Continue Reading....

Barcelona Yachapwa, Bayern Yanusulika Kutolewa UEFA

Posted on: April 13, 2016 - Yohana Chance
Barcelona Yachapwa, Bayern Yanusulika Kutolewa UEFA

Klabu ya Barcelona imefungwa na kutupwa nje ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kukubali kichapo cha mabao 2-0 na Atletico Madrid Uwanja wa Vicente…

Continue Reading....

FIFA Yaipa Onyo Kali Shirikisho la Soka Nchini Nigeria

Posted on: April 13, 2016 - Yohana Chance
FIFA Yaipa Onyo Kali Shirikisho la Soka Nchini Nigeria

Shirikisho la kandanda duniani limetishia kuipiga marufuku Nigeria kutoka kwenye mashindano yeyote ya kimataifa iwapo haitamrejesha afisini rais wa NFF Amaju Pinnick mara moja. Rais…

Continue Reading....

Yanga Watafuta Rekodi mpya Ligi Kuu Tanzania Bara

Posted on: April 13, 2016 - Yohana Chance
Yanga Watafuta Rekodi mpya Ligi Kuu Tanzania Bara

ligi ya kuu Tanzania imeendelea kwa michezo miwili kupigwa kwenye viwanja viwili tofauti, mjini Morogoro kulikuwa na mchezo kati ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam…

Continue Reading....

Kocha wa Leicester City Atoa Machozi Uwanjani

Posted on: April 13, 2016 - Yohana Chance
Kocha wa Leicester City Atoa Machozi Uwanjani

Meneja wa timu ya Leicester City Claudio Ranieri alibubujikwa na machozi baada ya kufurahishwa na vijana wake walipoitandika Sunderland kwa mabao 2-0 Ushindi huo uliongeza…

Continue Reading....

Ligi Kuu Bongo Kuendelea Leo Yanga Kujitupa Taifa na…!

Posted on: April 13, 2016April 20, 2016 - Yohana Chance
Ligi Kuu Bongo Kuendelea Leo Yanga Kujitupa Taifa na…!

Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania inatarajiwa kuendelea leo Jumatano, kwa michezo miwili ya viporo kuchezwa katika viwanja vya Manungu Turiani mkoani Morogoro na uwanja wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari