Mchezaji chipukizi Marcus Rashford ametupia bao la kwanza katika mchezo wa FA kati ya Man U na West Ham na kufanikiwa kushinda kwa 2-1Uwanja wa…
Continue Reading....Category: Michezo
Barcelona Yachapwa, Bayern Yanusulika Kutolewa UEFA
Klabu ya Barcelona imefungwa na kutupwa nje ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kukubali kichapo cha mabao 2-0 na Atletico Madrid Uwanja wa Vicente…
Continue Reading....FIFA Yaipa Onyo Kali Shirikisho la Soka Nchini Nigeria
Shirikisho la kandanda duniani limetishia kuipiga marufuku Nigeria kutoka kwenye mashindano yeyote ya kimataifa iwapo haitamrejesha afisini rais wa NFF Amaju Pinnick mara moja. Rais…
Continue Reading....Yanga Watafuta Rekodi mpya Ligi Kuu Tanzania Bara
ligi ya kuu Tanzania imeendelea kwa michezo miwili kupigwa kwenye viwanja viwili tofauti, mjini Morogoro kulikuwa na mchezo kati ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam…
Continue Reading....Kocha wa Leicester City Atoa Machozi Uwanjani
Meneja wa timu ya Leicester City Claudio Ranieri alibubujikwa na machozi baada ya kufurahishwa na vijana wake walipoitandika Sunderland kwa mabao 2-0 Ushindi huo uliongeza…
Continue Reading....Ligi Kuu Bongo Kuendelea Leo Yanga Kujitupa Taifa na…!
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania inatarajiwa kuendelea leo Jumatano, kwa michezo miwili ya viporo kuchezwa katika viwanja vya Manungu Turiani mkoani Morogoro na uwanja wa…
Continue Reading....