Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 72

Category: Michezo

TFF Yatuma Salamu za Rambirambi kwa MZFA

Posted on: April 16, 2016April 16, 2016 - Yohana Chance
TFF Yatuma Salamu za Rambirambi kwa MZFA

Shirkisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetuma salamu za rambirambi kwa Chama cha Mpira wa Miguu mkoa wa Mwanza (MZFA), kufuatia kifo cha aliyekuwa…

Continue Reading....

Matokeo na Msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza Soma Hapa

Posted on: April 16, 2016 - Yohana Chance
Matokeo na Msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza Soma Hapa

Klabu ya Manchester United wameweka hai matumaini yao ya kumaliza katika nne bora Ligi ya Uingereza kwa kulaza Aston Villa 1-0 uwanjani Old Trafford. Bao…

Continue Reading....

Yanga Waleeee Wanaonekana Kwa Tochi

Posted on: April 16, 2016April 16, 2016 - Yohana Chance
Yanga Waleeee Wanaonekana Kwa Tochi

Timu ya Yanga imefanikiwa kurejea kileleni mwa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara baada ya kuifunga mtibwa Sugar kwa goli 1-0 kwenye mchezo wa leo…

Continue Reading....

Rais waSoka Ujerumani Apewa Jukumu la Kurejesha Uaminifu

Posted on: April 15, 2016 - Yohana Chance
Rais waSoka Ujerumani Apewa Jukumu la Kurejesha Uaminifu

Reinhard Grindel amechaguliwa kuwa rais wa Shirikisho la Kandanda la Ujerumani – DFB, na kupewa jukumu la kurejesha uaminifu kufuatia kashfa iliyotokana na malipo ya…

Continue Reading....

Kipute cha Ligi Kuu Bongo Kuendelea Tena Kesho

Posted on: April 15, 2016 - Yohana Chance
Kipute cha Ligi Kuu Bongo Kuendelea Tena Kesho

Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara inatarajiwa kuendelea wikiendi hii kwa michezo minne kuchezwa katika viwanja mbalimbali nchini, huku kila timu ikisaka ushindi katika michezo…

Continue Reading....

Rais wa TFF Jamal Malinzi Amwaga Pongezi kwa Ravia

Posted on: April 15, 2016April 15, 2016 - Yohana Chance
Rais wa TFF Jamal Malinzi Amwaga Pongezi kwa Ravia

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amempongeza Ravia Idarous Faina wa kuchaguliwa kuwa Rais wa Chama cha Soka Visiwani Zanzibar (ZFA)…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari