Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 71

Category: Michezo

Kichuya wa Mtibwa Awa Mchezaji Bora wa Mwezi

Posted on: April 18, 2016 - Yohana Chance
Kichuya wa Mtibwa Awa Mchezaji Bora wa Mwezi

Mshambuliaji Shiza Ramadhan Kichuya wa timu ya Mtibwa Sugar ya Morogoro amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Machi kwa Ligi Kuu ya Vodacom msimu huu…

Continue Reading....

Malinzi Atuma Salamu za Pongezi Ujerumani

Posted on: April 18, 2016 - Yohana Chance
Malinzi Atuma Salamu za Pongezi Ujerumani

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ametumia salamu za pongezi, Reinhard Grindel kwa kuchaguliwa rais mpya wa Shirikisho la Mpira…

Continue Reading....

Mashabiki Wasimba Wawekwa Kikaangoni

Posted on: April 18, 2016 - Yohana Chance
Mashabiki Wasimba Wawekwa Kikaangoni

Shirkisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limelaani kitendo cha baadhi ya mashabiki wa mpira wa miguu kufanya vurugu mara baada ya mchezo kati ya…

Continue Reading....

Siku za Hazard Ndani ya Chelsea Zinahesabika

Posted on: April 17, 2016 - Yohana Chance
Siku za Hazard Ndani ya Chelsea Zinahesabika

Kocha wa kikosi cha Chelsea Guus Hiddink amesema kiungo wa timu hiyo Eden Hazard yuko kizani msimu huu. Katika msimu huu kiungo huyu amefunga mabao…

Continue Reading....

Arsenal, Lecester City Mambao Yazidi Kuwa Magum

Posted on: April 17, 2016 - Yohana Chance
Arsenal, Lecester City Mambao Yazidi Kuwa Magum

Klabu ya Arsenal imezidi Kuboteza matumaini ya kunyakua taji la ligi kuu la uingereza baada ya kulazimishwa sare na timu ya Crystal Palace ya Bao…

Continue Reading....

Toto Yaharibu Hesabu za Simba Taifa

Posted on: April 17, 2016 - Yohana Chance
Toto Yaharibu Hesabu za Simba Taifa

Klabu ya Simba imefungwa bao 1-0 na Toto Africans ya Mwanza katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari