Mshambuliaji Shiza Ramadhan Kichuya wa timu ya Mtibwa Sugar ya Morogoro amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Machi kwa Ligi Kuu ya Vodacom msimu huu…
Continue Reading....Category: Michezo
Malinzi Atuma Salamu za Pongezi Ujerumani
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ametumia salamu za pongezi, Reinhard Grindel kwa kuchaguliwa rais mpya wa Shirikisho la Mpira…
Continue Reading....Mashabiki Wasimba Wawekwa Kikaangoni
Shirkisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limelaani kitendo cha baadhi ya mashabiki wa mpira wa miguu kufanya vurugu mara baada ya mchezo kati ya…
Continue Reading....Siku za Hazard Ndani ya Chelsea Zinahesabika
Kocha wa kikosi cha Chelsea Guus Hiddink amesema kiungo wa timu hiyo Eden Hazard yuko kizani msimu huu. Katika msimu huu kiungo huyu amefunga mabao…
Continue Reading....Arsenal, Lecester City Mambao Yazidi Kuwa Magum
Klabu ya Arsenal imezidi Kuboteza matumaini ya kunyakua taji la ligi kuu la uingereza baada ya kulazimishwa sare na timu ya Crystal Palace ya Bao…
Continue Reading....Toto Yaharibu Hesabu za Simba Taifa
Klabu ya Simba imefungwa bao 1-0 na Toto Africans ya Mwanza katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa…
Continue Reading....