Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 70

Category: Michezo

Azam Yaaga Michuano Baada ya Kukubali Kichapo

Posted on: April 20, 2016 - Yohana Chance
Azam Yaaga Michuano Baada ya Kukubali Kichapo

Wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika Azan FC wametupwa nje ya michuano ya hiyo baada ya kuchapwa kwa magoli 3-0…

Continue Reading....

Serengeti Boys Kutimkia Nchini India

Posted on: April 19, 2016 - Yohana Chance
Serengeti Boys Kutimkia Nchini India

Timu ya taifa ya Tanzania vijana wenye umri chini ya miaka 17 ‘Serengeti Boys’ inatarajiwa kushiriki mashindano maalumu ya vijana wenye umri chini ya miaka…

Continue Reading....

TFF Yaweka Mkono wa Baraka kwa Yanga na Azam

Posted on: April 19, 2016 - Yohana Chance
TFF Yaweka Mkono wa Baraka kwa Yanga na Azam

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limezitakia kila la kheri timu za Azam FC na Yanga SC katika michezo yao ya kimataifa inayoandaliwa na…

Continue Reading....

TP Mazembe Wakabiliwa na Kibarua Kigumu

Posted on: April 19, 2016 - Yohana Chance
TP Mazembe Wakabiliwa na Kibarua Kigumu

klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo inakabiliwa na kibarua kigumu dhidi ya Wydad Casablanca ya Morocco katika jitihada zake za kutetea…

Continue Reading....

Vardy Kitanzini Kwa Kumkaripia Mwamuzi

Posted on: April 19, 2016 - Yohana Chance
Vardy Kitanzini Kwa Kumkaripia Mwamuzi

Mshambuliaji wa Leicester City Jamie Vardy amefunguliwa mashtaka ya utovu wa nidhamu na chama cha soka cha nchini England FA. Vardy alifanya vitendo vya utovu…

Continue Reading....

Spurs Yashinda Nne Mtungi, Leicester City Wahaha

Posted on: April 19, 2016 - Yohana Chance
Spurs Yashinda Nne Mtungi, Leicester City Wahaha

Klabu ya soka ya Tottenham wakicheza ugenini katika dimba la Brittania wameibuka na ushindi wa kishindo wa mabao 4-0 dhidi ya Stoke City. Mshambuliaji mahiri…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari