Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 7

Category: Michezo

Bale Ajipiga Kitanzi Real Madrid Hadi 2022

Posted on: October 31, 2016 - Yohana Chance
Bale Ajipiga Kitanzi Real Madrid Hadi 2022

Klabu ya Real Madrid imemsainisha mkataba mpya winga wake Gareth Bale na kumfanya aendelee kudumu klabuni hapo mpaka 2022. Bale mchezaji wa zamani wa Southampton…

Continue Reading....

Dodoma Kushuhudia Ligi ya Wanawake

Posted on: October 28, 2016 - Yohana Chance
Dodoma Kushuhudia Ligi ya Wanawake

Uzinduzi wa Ligi ya Taifa ya Wanawake unatarajiwa kufanyika Novemba 1, 2016 kwenye Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma katika mchezo ambao Baobao itacheza na Victoria…

Continue Reading....

Mourinho, Moyes Wapigwa Rungu na FA

Posted on: October 28, 2016 - Yohana Chance
Mourinho, Moyes Wapigwa Rungu na FA

Kocha wa Manchester United Jose Mourinho ameshtakiwa na shirikisho la soka nchini Uingereza FA kwa kudai kwamba itakuwa vigumu kwa refa Anthony Taylor kusimamia mechi…

Continue Reading....

Zali la Farid Mussa Latiki Huko Deportivo

Posted on: October 27, 2016 - Yohana Chance
Zali la Farid Mussa Latiki Huko Deportivo

UONGOZI wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, unapenda kuwataarifa wapenzi wa soka kuwa winga wao Farid Mussa, jana amepata kibali rasmi…

Continue Reading....

Manchester United Waisambaratisha City

Posted on: October 27, 2016 - Yohana Chance
Manchester United Waisambaratisha City

Manchester United walifika hatua ya robo fainali katika Kombe la EFL baada ya kuwalaza mabingwa watetezi Manchester City kwenye debi iliyochezewa uwanja wa Old Trafford.…

Continue Reading....

Guardiola Amtaka Yaya Toure Amwombe Msamaha

Posted on: October 27, 2016 - Yohana Chance
Guardiola Amtaka Yaya Toure Amwombe Msamaha

Kocha wa Manchester City Pep Guardiola anamuhitaji kiungo wa kati Yaya Toure lakini bado anasubiri kuombwa Raia huyo wa Ivory Coast mwenye umri wa miaka…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari