Wakicheza Ugenini huko Nchini Misri, Yanga wamefungwa 2-1 na Al Ahly na kuondolewa katika michuano ya klabu bingwa Africa. Mabingwa watetezi Tp Mazembe wakaondolewa katika…
Continue Reading....Category: Michezo
Rais wa ZFA Apokea Salamu za Pongezi Kutoka kwa Hayatou
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika (CAF), Issa Hayatou amemtumia salamu za pongezi Ravia Idarous Faina kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Chama…
Continue Reading....Machester City Yapanwa Mbavu na Newcastle
Klabu ya Mnchester City Imeambulia Sare ya Bao 1-1 dhidi ya Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St James’ Park…
Continue Reading....Nahodha wa Azam Asema Nguvu Zote Zinahamia FA
NAHODHA Msaidizi wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Himid Mao, amewafuta machozi wote wa timu hiyo baada ya kutolewa jana na…
Continue Reading....Balotelli Agoma Kurudi Liverpool
Mshambuliaji wa Italia Mario Balotelli amesema hataki kurejea klabu yake ya Liverpool baada ya kipindi chake cha mkopo klabu ya AC Milan kumalizika mwisho wa…
Continue Reading....Yanga Kuweka Historia Mpya Misri Leo?
Watanzania wengi leo yanaelekezwa mjini Alexandria, Misri ambako Yanga SC itakuwa ikimenyana na wapinzani wao wa kihistoria kwenye michuaano ya Afrika, Al Ahly. Mchezo huo…
Continue Reading....