Meneja wa klabu ya Arsenal Arsene Wenger amesema ameanza kuingiwa na wasiwasi kuhusu Ligi Kuu ya Uingereza msimu huu. Anasema wasiwasi zaidi unatokana na hatari…
Continue Reading....Category: Michezo
Klabu Bingwa Ulaya Kuendelea Leo, Manchester City Kumkosa Yaya Toure
Michuano ya klabu bingwa barani Ulaya hatua ya Nusu fainali inaendelea tena leo ambapo Manchester City watamenyana na Real Madrid. Manchester City wataikaribisha Real Madrid…
Continue Reading....Yanga SC kufanya Uchaguzi Mkuu Juni 5
Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) leo imetangaza Juni 05, 2016 kuwa siku ya Uchaguzi Mkuu wa viongozi ndani ya…
Continue Reading....Leicester City Mwendo Mdundo, Arsenal Yapotezwa
Ligi kuu ya Uingereza imeendekea leo kwa michezo miwili ambapo Katika mchezo wa kwanza The Gunners wameambulia pointi moja baada ya kumaliza mchezo bila ya…
Continue Reading....Yanga Vs Coastal Union Pambano Lavunjika, Azam Yatinga Fainali
Azam imekuwa timu ya kwanza kutinga fainali ya kombe la Azam Sports Federation Cup kufuatia ushindi wa penati 5-3 dhidi ya Mwadui FC baada ya…
Continue Reading....Manchester United Yatinga Fainali FA Kwa Mbinde
Klabu ya Manchester United Imefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya michuano ya FA baada ya kuisambaratisha timu ya Everton katika mchezo wa nusu uliochezwa kwenye…
Continue Reading....