Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 40

Category: Michezo

Italia Yachapwa Ila Yasonga Mbele

Posted on: June 23, 2016 - Yohana Chance
Italia Yachapwa Ila Yasonga Mbele

Jamhuri ya Ireland imeifunga Italis bao 1-0 bao lililofungwa na Robbie Brady katika mchezo wa Kundi E Euro 2016 Uwanja wa Pierre-Mauroy mjini Villeneuve d’Ascq,…

Continue Reading....

Ronaldo Amnyang’anya Mtangazaji Maiki na Kuitupa

Posted on: June 23, 2016 - Yohana Chance
Ronaldo Amnyang’anya Mtangazaji Maiki na Kuitupa

Wakati Mtangazaji wa Iceland amefurahi kweli kweli kwa Timu yake kufuzu, Mtangazaji Mreno yeye anaugulia maumivu ya moyo kwa tukio alilofanyiwa na Ronaldo na kumnyang’anya…

Continue Reading....

Mmiliki wa TP Mazembe Ahukumiwa Miaka Mitatu Jela

Posted on: June 22, 2016 - Yohana Chance
Mmiliki wa TP Mazembe Ahukumiwa Miaka Mitatu Jela

Mgombea urais wa upinzani nchini Jamhuri ya Demokrasi ya Congo Moise Katumbi, amehukumiwa kifungo cha miezi 36 jela kwa kununua nyumba kinyume cha sheria kwenye…

Continue Reading....

Kadabla Kustaafu Soka Baada ya Michuano ya Euro

Posted on: June 22, 2016 - Yohana Chance
Kadabla Kustaafu Soka Baada ya Michuano ya Euro

Nyota wa Sweden Zlatan Ibrahimovich ametangaza kwamba atastaafu katika soka ya kimataifa baada ya michuano ya Euro 2016. Taifa lake linakutana na Ubelgiji katika mechi…

Continue Reading....

Higuain Apiga Bao Mbili Mwenyewe Copa America

Posted on: June 22, 2016 - Yohana Chance
Higuain Apiga Bao Mbili Mwenyewe Copa America

Licha ya Kocha wa timu ya taifa ya Marekani Juergen Klinsmann kuwa na matumaini kwamba timu yake ingeweza kupata ushindi muhimu dhidi ya Argentina katika…

Continue Reading....

Hispania Yakiona cha Moto dhidi ya Croatia

Posted on: June 22, 2016 - Yohana Chance
Hispania Yakiona cha Moto dhidi ya Croatia

Timu ya Croatia imeichapa Hispania jumla ya magoli 2 – 1 katika mchezo wa kusisimua wa kundi D wa michuano ya Kombe la mataifa ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari