Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 39

Category: Michezo

Ufaransa Yatangulia Robo Fainali ya Michuano ya Euro

Posted on: June 26, 2016 - Yohana Chance
Ufaransa Yatangulia Robo Fainali ya Michuano ya Euro

Timu ya taifa ya Ufaransa wamefanikiwa kuifunga Jamhuri ya Ireland na kutinga hatua ya robo fainali ya michuano hiyo. Ireland walitangulia kupata bao na kuongoza…

Continue Reading....

Fujo za Mashabiki Waibonza Entente Setif

Posted on: June 24, 2016 - Yohana Chance
Fujo za Mashabiki Waibonza Entente Setif

Wawakilishi wa Algeria katika michuano ya kuwania ubingwa wa vilabu barani Afrika, Klabu ya Entente Setif wametupwa nje ya mashindano hayo na Shirikisho la soka…

Continue Reading....

Serengeti Boys Kuikaribisha Shelisheli Taifa

Posted on: June 24, 2016 - Yohana Chance
Serengeti Boys Kuikaribisha Shelisheli Taifa

Timu ya soka ya Vijana ya Shelisheli, inatarajiwa kuwasili leo kwa ajili ya mchezo dhidi ya timu ya Serengeti Boys. Mchezo wa timu hizi mbili…

Continue Reading....

Victor Wanyama Sasa Rasmi Kuichezea Tottenham

Posted on: June 24, 2016 - Yohana Chance
Victor Wanyama Sasa Rasmi Kuichezea Tottenham

Kiungo na Nahodha wa Harambee stars Victor Wanyama amekamilisha rasmi uhamisho wake wa kwenda Tottenham akitokea Southampton kwa ada ya uhamisho ya paundi milioni 11.…

Continue Reading....

Arsenal Kwa Vardy Ndio Basi Tena, Leicester Yampa Mkataba Mnono

Posted on: June 23, 2016 - Yohana Chance
Arsenal Kwa Vardy Ndio Basi Tena, Leicester Yampa Mkataba Mnono

Mshambuliaji wa Uingereza na Leicester Jamie Vardy amekubali kusaini Mkataba mpya na viongozi wa ligi ya Uingereza Leicester. Leicester imesema kuwa mchezaji huyo wa miaka…

Continue Reading....

Chile Uso Kwa Uso na Argentina Fainali ya Copa America

Posted on: June 23, 2016 - Yohana Chance
Chile Uso Kwa Uso na Argentina Fainali ya Copa America

Katika Copa Amerika timu ya Chile imeiambaratisha Colombia kwa kuifunga magoli 2-0 katika Nusu Fainali Alfajiri ya leo Uwanja wa Soldier Field mjini Chicago, Illinois,…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari