TFF yamuengua Michael Wambura kungombea uongozi FAM

Na Joachim Mushi KAMATI ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limemuengu Michael Wambura kugombea nafasi ya uenyekiti katika kinyang’anyiro cha uchaguzi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu mkoani Mara (FAM). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya TFF, Deogratius Lyatto imesema imeliondoa jina la Wambura kwa kile kukosa sifa ya …

Mechi ya Kagera Sugar Vs Coastal yasogezwa mbele

MECHI namba 89 ya Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Kagera Sugar na Coastal Union iliyopangwa kufanyika Novemba 2 mwaka Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba imesogezwa mbele kwa siku moja. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) kupitia Ofisa Habari wake, Boniface Wambura imesema uamuzi wa kusogeza mechi hiyo hadi Novemba 3 mwaka …

TFF yawataja viingilio na waamuzi mechi ya Simba na Yanga

Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limetaja wamuzi watakao kuwa na kibarua cha kuchezesha mechi namba 78 ya Ligi Kuu ya Vodacom kati ya timu za Yanga na Simba itakayofanyika Oktoba 29 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Katika taarifa ya TFF iliyotolewa na Ofisa Habari wake leo, Boniface Wambura imemtaja mwamuzi wa Shirikisho …

Man United chali, yapigwa 6-1 kwao

MANCHESTER City imeizaba Manchester United 6-1 kwenye uwanja wa Old Trafford. Kinyume na matarajio ya Wengi, Man United walishindwa kabisa kuhimili vishindo vya majirani zao na mahasimu wao wa jadi. Hadi mapumziko City walikuwa wakiongoza kwa goli moja lililofungwa na Mario Balotelli. Man United walicheza karibu kipindi chote cha pili wakiwa na mchezaji mmoja pungufu baada ya beki, Jonny Evans …

Chelsea nayo hola kwa QPR

Chelsea imebanwa na QPR na kuchapwa 1-0 katika mchezo uliojaa vuta nikuvute na kadi nyingi. Bao hilo pekee la QPR limefungwa na Heidar Helgoson katika dakika ya 10 kwa mkwaju wa penati. Penati hiyo ilitokana na Helguson kusukumwa ndani ya boksi na David Luiz. Jose Bosingwa alioneshwa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu Shaun Wrght Phillips, kabla ya Didier Drogba naye …

Odinga: Kenya kuandaa Kombe la Dunia

WAZIRI Mkuu wa Kenya amesema nchi hiyo inaweza kuandaa mashindano ya kandanda ya Kombe la Dunia hivi karibuni. Taarifa zinasema, Raila Odinga anataka nchi hiyo kuwa mwenyeji wa mashindano ya soka ya Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2019 kabla haijajaribu kuandaa mashindano ya Kombe la Dunia. “Tutawekeza fedha zaidi siku zijazo katika kandanda nchi kwetu. Kusema kweli tunataka kujitokeza …