MENEJA wa Manchester United, Sir Alex Ferguson anasherehekea miaka 25 na timu hiyo. Sir Alex Ferguson akisherehekea miaka hiyo 25 akiwa na Timu ya Man United amesema hatua hiyo ni kama hadithi nzuri. Katika miaka hiyo yote mkongwe huyo mwenye umri wa miaka 70 ameisaidia Man kushinda Kombe la Premier mara 12, Kombe la FA mara tano na Ligi ya …
Taifa Stars kutembelea Makumbusho ya Taifa
TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) ambayo hivi sasa iko kambini kujiandaa kwa mechi dhidi ya Chad, kesho (Novemba 5 mwaka huu) saa 5 asubuhi itatembelea Makumbusho ya Taifa. Ziara yao ni ya kawaida, lakini pia kutakuwa na onyesho la Historia ya Soka Tanzania. Wachezaji ambao tayari wapo kambini hoteli ya New Africa ni Juma Kaseja, Godfrey Taita, Shabani …
Michuano ya Kombe la Uhai kuanza Novemba 12
MICHUANO ya kuwania Kombe la Uhai (Uhai Cup 2011) inayoshirikisha timu za pili (U20) za klabu zote 14 za Ligi Kuu ya Vodacom inatarajia kuanza Novemba 12 mwaka huu katika Uwanja wa Azam ulioko Chamazi, Dar es Salaam. Timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 (Serengeti Boyz) itashiriki michuano hiyo inayodhaminiwa na kampuni ya Said Salim …
Man City yaua, yailaza Villareal
WAKATI Man United wakisumbuliwa na Otelul Galati, mahasimu wao Man City walikuwa wakiwafunza mpira Villareal nyumbani kwa Uhispania. Yaya Toure aliipatia Manchester City magoli mawili na kuiongezea matumaini ya kusonga mbele katika michuano hiyo ya Klabu Bingwa Bara la Ulaya. Ingawa Man City walikuwa wanacheza kama watu walio uwanjani kwao wakifanya mazoezi, lakini walitoka uwanjani wakiwa na hofu baada ya …
Serengeti Breweries yazindua kampeni za tutashinda
Na Joachim Mushi KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia kinywaji chake cha Serengeti imezindua kampeni ya wananchi kuiunga mkono Timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ ya Tanzania ili kuwapa nguvu wachwzaji kuweza kufanya vizuri kwenye mashindano yanayokuja. Akizungumza na vyombo vya habari katika uzinduzi huo, Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano, Teddy Mapunda amesema kampuni ya SBL kama mdhamini mkuu wa …