Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL) leo imefanya hafla fupi ya kuwaaga na kuwatakia kila la kheri wachezaji wa Taifa Stars kwa ajili ya mechi dhidi yao na Chad. Sambamba na hafla hiyo, SBL imezindua rasmi tangazo la televisheni linalosema ‘TUPO PAMOJA NA TUTASHINDA’. Akiwakaribisha wageni katika hafla hiyo, Mkurugenzi wa Mahusiano na Mawasiliano wa Kampuni hiyo, …
Marcel Desailly: I have spent three enjoyable days…!
THEY say good things come in threes and if recent events are anything to go by, it seems that the saying is true! I have just spent three very enjoyable days at my sports facility in Accra, where I have had the immense pleasure of working alongside three absolute legends of African football – Rigobert Song, Jay Jay Okocha and …
Taifa Stars kuagwa leo New Africa Hotel
Na Mwandishi Wetu KIKOSI cha Timu ya Taifa kinachotarajiwa kuondoka nchini kesho Novemba 8, 2011 kinatarajiwa kuagwa rasmi leo jioni kwenye hoteli ya New Afrika. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo asubuhi na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), kupitia kwa Ofisa Habari wake, Boniface Wambura zinasema kikosi hicho kitaagwa rasmi leo jioni kwenye Hoteli hiyo ambayo ndipo kambi …
CAF kutoa leseni za ukocha daraja ‘C’
KOZI ya ukocha kwa ajili ya kupata leseni za daraja C kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) itafanyika ofisi za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kuanzia kesho (Novemba 7 mwaka huu) hadi Novemba 20 mwaka huu. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na TFF kupitia kwa Ofisa Habri wake, Boniface Wambura amesema makocha 30 ndiyo wanaoshiriki …
Nadir Haroub aenguliwa kikosi cha Stars
BEKI wa kati wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Nadir Haroub ameondolewa katika kikosi hicho kinachojiandaa kwa mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia dhidi ya Chad itakayochezwa Novemba 11 mwaka huu jijini N’Djamena. Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania, Boniface Wambura aktika taarifa yake kwa vyombo vya habari leo amesema; Haroub ameondolewa baada ya kuumia kifundo …
Msimamo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania
MSIMAMO WA LIGI KUU 2011-2012