Stars yawasili Chad, Poulsen ataja kikosi cha kwanza

TIMU ya Taifa Stars ya Tanzania imewasili jana usiku mjini N’Djamena tayari kwa mechi ya kwanza ya mchujo ya Kombe la Dunia dhidi ya Chad itakayochezwa kesho Uwanja wa Idriss Mahamat Ouya. Kwa mujibu wa taarifa ya Ofisa Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Boniface Wambura aliyoituma kwa vyombo vya habari leo, alisema timu hiyo imefikia hoteli …

Stars kutua N’djamena leo kwa pambano

TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inatarajia kuondoka Novemba 9 mwaka huu saa 9 alasiri kwa ndege ya Kenya Airways kwenda N’Djamena kwa ajili ya mechi ya kwanza ya mchujo ya Kombe la Dunia dhidi ya Chad itakayochezwa Novemba 11 mwaka huu. Msafara wa Stars wenye watu 40 ukiongozwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF, Eliud Mvella …

Rufani ya Michael Wambura yatupwa tena

KAMATI ya Nidhamu na Usuluhishi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imesema haina mamlaka (jurisdiction) ya kusikiliza shauri lililowasilishwa mbele yake na aliyekuwa mgombea uenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Mara (FAM), Michael Richard Wambura. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa kamati hiyo, Kamishna Mstaafu wa Polisi Alfred Tibaigana, Wambura aliwasilisha rufani mbele yao akipinga uamuzi …

Wanaoongoza kwa magoli Ligi Kuu Vodacom

TANZANIA FOOTBALL FEDERATION Vodacom Premier League (VPL) 2011/2012 TOP GOALS SCORES 1st ROUND NO JNO GOAL SCORERS GOALS TEAM HTR PNT 1 19 JOHN BOCCO 8 AZAM FC 0 2 2 26 KENNETH ASAMOAH 8 YANGA SC 0 0 3 11 GAUDENCE MWAIKIMBA 6 MORO UNITED 0 0 4 25 EMMANUEL OKWI 5 SIMBA SC 0 0 5 5 RAJABU …

Benki ya Posta yaisaidia JKT Ruvu

Na Joachim Mushi BENKI ya Posta Tanzania (TPB) imetoa msaada wa jezi na viatu jozi 3º pamoja na fedha taslimu sh. milioni 2 kwa ajili ya Timu ya Jeshi la Kujenga Taifa -JKT Ruvu (Ruvu Stars), ikiwa ni jitihada za kuiwezesha timu hiyo kufanya vizuri katika michezo yake ijayo. Misaada hiyo yenye thamani ya milioni 5 imekabidhiwa jana Makao Makuu …

Taifa Stars yaagwa rasmi, Pinda awapa zawadi nono!

*Serengeti Breweries yazingua shamrashara za ushindi *TFF, BMT wawataka wachezaji kupigana kiume Na Joachim Mushi KIKOSI cha Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ jana kimeagwa rasmi jioni katika Hoteli ya New Africa jijini Dar es Salaam, sherehe iliyohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa soka, michezo pamoja na wahariri wa vyombo anuai vya habari. Akizungumza na wachezaji kwa king’amuzi (TV), katika …