KOCHA Mkuu wa timu ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars), Charles Boniface Mkwasa ametaja kikosi cha mwisho cha wachezaji 20 kwa ajili ya michuano ya Tusker Chalenji inayoanza kesho. Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari leo Dar es Salaam, Ofisa Habari wa TFF, Boniface Wambura amesema wachezaji waliobaki na timu zao kwenye mabano kati ya 28 waliokuwa wameitwa awali ni pamoja …
Asante Kotoko ya Ghana kucheza na Yanga na Simba Desemba
Na Mwandishi Wetu TIMU ya Soka ya Kumasi, Asante Kotoko ya Ghana inatarajiwa kuwasili nchini Desemba 9 tayari kucheza mchezo mmoja wa kirafiki dhidi ya kombaini ya Timu za Yanga na Simba siku ya Desemba 11 kwenye uwanja wa Taifa. Mchezo huo ni sehemu ya kukamilisha maadhimisho ya sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania na maandalizi yake yamekwisha …
Timu zilizowasili CECAFA Tusker Challenge Cup
TIMU zinazoshiriki CECAFA Tusker Challenge Cup zinaendelea kuwasili Dar es Salaam kwa ajili ya mashindano hayo yatakayoanza Novemba 25 mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TFF leo kwa vyombo vya habari ni kwamba; Somali na Djibouti tayari zimeshawasili. Ikifafanua zaidi taarifa hiyo iliyosainiwa na Ofisa Habari wa TFF, Boniface Wambura inasema timu hizo zilitua …
Uchaguzi wa viongozi CECAFA Kesho
MKUTANO Mkuu wa Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) utafanyika kesho (Novemba 24 mwaka huu) kwenye hoteli ya JB Belmont jijini Dar es Salaam. Moja ya ajenda katika mkutano huo utakaonza saa 4.00 asubuhi ni uchaguzi wa Kamati mpya ya Utendaji ya CECAFA. Nafasi zinazogombewa ni tano; (Mwenyekiti na wajumbe wane wa Kamati ya …
Kliniki ya wanahabari watakaoripoti Mashindano ya Tusker Chalenji yafunguliwa
Na Mwandishi Wetu WANAHBARI maalumu watakao ripoti Mashindano ya Kombe la Tusker Chalenji wameanza kunolewa leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya maandalizi ya mashindano hayo. Akizungumza leo wakati akifungua Kliniki hiyo Katibu Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), Nicholas Musonye alisema vyombo vya habari ni nyenzo muhimu katika utoaji wa …
Samuel Eto’o kuhojiwaikabili Kamati ya Nidhamu
TAARIFA za kimichezo sinasema mzozo juu ya malipo ulisababisha Cameroon kufuta mchezo wake wa kirafiki dhidi ya Algeria. Wachezaji hao wawili wanatazamiwa kufika mbele ya kamati hiyo siku ya Alhamisi, lakini huenda wakaomba shauri lao liahirishwe na kutaka maafisa wa Fecafoot waliohusika nao waitwe mbele ya kamati hiyo ya nidhamu. Mzozo ulizuka baada ya timu hiyo kucheza mechi mbili dhidi …