Timu ya Mpira wa Miguu ya Tanzania ‘Taifa Stars’, kesho Septemba 3, 2016 inatarajiwa kuingia kibaruani kwa kucheza na Super Eagles ya Nigeria katika mchezo…
Continue Reading....Category: Michezo
Taifa Stars Yapaa Kwenda Nigeria, Yondani Abaki
Sentahafu wa Young Africans, Kelvin Yondani si miongoni mwa wachezaji 18 walioondoka leo Septemba mosi, 2016 kwenda Nigeria kwa ajili ya mchezo wa mwisho wa…
Continue Reading....FIFA Yasambaza Waraka, Watua TFF
Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), limesambaza waraka mpya kwa wanachama wake, likiwamo Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ukisema mameneja wote…
Continue Reading....Twiga Stars Kushiriki Michuano ya CECAFA Kwa Mara ya Kwanza
Shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF) limethibitisha kwa Shirikisho la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), kuwa timu ya taifa ya…
Continue Reading....Mwanzo Mwisho Dirisha la Usajili Lilivyofanyika Uingereza
Klabu zilizovunja rekodi zao binafsi katika ununuzi Manchester United: Paul Pogba (£89m) Bournemouth: Jordon Ibe (£15m) Liverpool: Sadio Mane (£36m) Sunderland: Didier N’Dong (£13.6m) Crystal…
Continue Reading....Mkwasa Abadili Kikosi Cha Taifa Stars
Kocha Mkuu wa timu ya Mpira wa Miguu Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Boniface Mkwasa, amefanya mabadiliko kwenye kikosi kinachotarajiwa kusafiri Jumatano Agosti 31, 2016 kwenda…
Continue Reading....