Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 16

Category: Michezo

Manchester City Yazima Ndoto za Mourihno

Posted on: September 10, 2016 - Yohana Chance
Manchester City Yazima Ndoto za Mourihno

Manchester City imefanikiwa kuifunga mabao 2-1 na Manchester United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Mabao ya timu ya…

Continue Reading....

Yanga Yaipumulia Simba, Azamu Azidi Kuchanja Mbuga

Posted on: September 10, 2016 - Yohana Chance
Yanga Yaipumulia Simba, Azamu Azidi Kuchanja Mbuga

YANGA SC imezinduka katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, baada ya kuichapa Maji Maji ya Songea mabao 3-0 jioni ya leo Uwanja wa Uhuru,…

Continue Reading....

Jack Wilshere Hang’oleki Atafia Arsenal

Posted on: September 9, 2016 - Yohana Chance
Jack Wilshere Hang’oleki Atafia Arsenal

Meneja Arsene Wenger amesema matumaini yake ni kwamba kiungo wa kati Jack Wilshere, ambaye kwa sasa ametumwa Bournemouth kwa mkopo, atasalia Arsenal maisha yake ya…

Continue Reading....

Ukisikia Kuvuja Kwa Pakacha Ndio Huku

Posted on: September 9, 2016 - Yohana Chance
Ukisikia Kuvuja Kwa Pakacha Ndio Huku

Crystal Palace wamemchukua kiungo wa kati wa zamani wa Arsenal Mathieu Flamini, ambaye alikuwa amesalia kuwa ajenti huru baada ya kuruhusiwa kuondoka na klabu ya…

Continue Reading....

Kifo cha Msomali ni Pigo Kwenye Soka la Tanzania

Posted on: September 9, 2016 - Yohana Chance
Kifo cha Msomali ni Pigo Kwenye Soka la Tanzania

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amemtumia salamu za rambirambi Mwenyekiti wa Chama Cha Soka Mkoa wa Morogoro (MRFA), Paschal…

Continue Reading....

Mnyama Aunguruma Shamba la Bibi, Yanga Yashikwa

Posted on: September 7, 2016September 7, 2016 - Yohana Chance
Mnyama Aunguruma Shamba la Bibi, Yanga Yashikwa

BAO la kipindi cha pili la mshambuliai Mrundi, Laudit Mavuto limeipa Simba SC ushindi wa 2-1 dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari