Ujerumani Mabingwa Kombe la Dunia 2014

TIMU ya Taifa ya Ujerumani imetwaa kombe la dunia. Ujerumani imetwaa kombe hilo jana baada ya kuifunga timu ya Taifa ya Argetina 1-0. Mchezaji wa Ujerumani, Mario Goetze ndiye aliyeiwezesha Ujerumani kutawazwa mabingwa wapya wa kombe la dunia. Mchezaji Goetze aliizamisha Argetina katika dakika za nyiongeza baada ya timu hizo kucheza dakika 90 za kawaida bila kufungana na kucheza tena …

DCB Bank Watambulisha DCB Jirani na DCB Mobile Sabasaba

DCB Commercial Bank imeendelea kuzitambulisha huduma zake mpya ikiwemo ya DCB Jirani ambayo inamuwezesha mteja wa banki hiyo kupata huduma za kibenki mahali popote kwa haraka na nafuu zaidi. Katika huduma ya DCB Jirani inamuwezesha mteja kuweka na kutoa pesa kwenye akaunti yake, kujua salio, kufungua akaunti na kupata taarifa fupi za akaunti, kutuma hela kutoka akaunti moja hadi nyingine, …

Viongozi Waipongeza TTCL Maonesho ya Sabasaba

VIONGOZI mbalimbali wa Serikali waliotembelea Banda la Kampuni ya TTCL katika Maonesho ya 38 ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea katika Viwanja wa Mwalimu Julias Nyerere, Sabasaba wameipongeza kampuni hiyo kwa utendaji kazi. Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Mlengeya Kamani alimwaga pongezi hizo kwa TTCL alipotembelea banda hilo, ambapo aliipongeza Kampuni ya Simu TTCL kwa kazi nzuri …

JK Ataka Ushindani Bidhaa za Tanzania

Na Magreth Kinabo – MAELEZO RAIS Jakaya Kikwete amewataka wafanyabiashara nchini kuongeza juhudi za kuboresha ubora wa bidhaa zao ili ziweze kushindana na zile za nje ya nchi. Rais Kikwete amewapongeza washiriki wa maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa kwa kuongeza ubora wa bidhaa ambao kila mwaka kumekuwa na tofauti. Kauli hiyo imetolewa na Rais Kikwete wakati akitembelea maonesho ya 38 ya Biashara ya …