KAMPUNI ya mawasiliano ya simu nchini (TTCL) imezinduwa rasmi promosheni mpya kwa wateja wake wa majumbani na maofisini ambao wanatumia huduma ya malipo kabla (pre-paid). Katika promosheni hiyo inampa mteja gharama za viwango vya chini kabisa vya kupiga simu TTCL kwenda mitandao mingine yote ikiwa ni pamoja na wenyewe wa TTCL. Akizinduwa huduma hiyo leo jijini Dar es Salaam, mbele …
LG Yazindua Simu Mpya ya G3…!
KAMPUNI ya LG imezindua simu mpya ya G3 ambayo itaanza kupatikana katika maduka mbalimbali wakagi wowote kuanzia sasa. Akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika 5 Agosti 2014 kwenye Hoteli ya Hyatt Jijini Dar es Salaam, Meneja Mkuu wa Kampuni ya LG Moses Marji alisema kuwa wameamua kuzindua simu hiyo kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya wateja wao. Alisema kuwa simu …
MeTL Kupanua Soko Lake la Mafuta Afrika Mashariki na Kusini
Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Bi. Mizinga Melu akizungumza kwenye hafla ya utiliaji saini wa mkopo wa bilioni 100 za kitanzania baina ya benki yake na kampuni ya MeTL mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Na Mwandishi wetu KAMPUNI ya Mohammed Enterpries Tanzania Limited (MeTL GROUP) kupitia kampuni yake dada ya kuingiza, kuhifadhi na kusambaza mafuta nchini ya Star …
Je, Umependa Ubunifu Huu wa Vijana wa UCA Tz…!
Kama umetokea kupenda ubunifu huu wa kazi za Vijana wa Asasi ya Unscripted Concert for Africa- Tanzania (UCA-Tz); Wasiliana nasi kwa namba 0712493755 au tembelea; https://www.facebook.com/EmmanuelEwaldMushy
Hadhi ya Tanzania Yapanda Katika Benki ya Afrika
TANZANIA imepandishwa hadhi katika Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) na sasa inaweza kupata mikopo mikubwa zaidi na yenye hadhi kubwa zaidi kuliko huko nyuma. Mwakilishi Mkazi wa Benki hiyo katika Tanzania, Bi. Tonia Kandiero ametangaza hayo, Julai 23, 2014. Bi. Kandiero amesema kuwa miaka yote tokea Tanzania kuwa mwanachama wa AfDB, imekuwa inapata mikopo ya hadhi ya chini zaidi …
Mitumba Bei Rahisi, Jumla na Rejareja Tanzania
MWEZI mtukufu wa Ramadhan, umebakiza takribani majuma mawili tu. Kwa maana hiyo, maandalizi ya sikukuu ya Eid-El-Fitri tayari yameshaanza. Eid huwa ni wakati wa furaha na mara nyingi huenda sambamba na kujumuika na ndugu, jamaa na marafiki kufurahi na kutukuza yale yote aliyotujalia Mwenyezi Mungu. Palipo na mkusanyiko wa watu, huwa pia pana “mtoko”. Kila binadamu hupenda kupendeza. Wenzetu wa …