Serikali Kufungua Viwanda vya Ngozi Dar, Geita na Shinyanga – Waziri Mkuu

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imepanga kufungua viwanda vya kusindika ngozi kwenye mikoa ya Shinyanga, Geita na Dar es Salaam ili kutoa soko kwa ngozi za wanyama wanaochinjwa kwenye machinjio ya mikoa hiyo. Ametoa kauli hiyo jana jioni (Jumatatu, Januari 18, 2016) wakati akizungumza na baadhi ya Watanzania waishio Botswana kwenye kikao kilichofanyika kwenye kituo cha mikutano ya kimataifa …

Wanawake 35 Dar Kunufaika na Mafunzo ya Ujarisiamali

                                                                                       Washiriki wa Mafunzo hayo wakisikiliza kwa Makini Mafunzo hayo.. Awamu ya Tatu ya Mafunzo ya Ujarisiamali kwa …

Standard Chartered Tanzania Wins Bank of the Year Award

STANDARD Chartered Bank Tanzania Limited has been awarded the prestigious ‘Bank of the Year’ award at The Banker Awards 2015. This is the eighth time that the Bank is winning this award which was announced at a grand gala dinner programme held at an award ceremony in London last Wednesday evening. With more than fifty lenders operating within its borders, …

Wavuvi Ukanda wa Pwani wa Bahari ya Hindi Kunufaika na Uvuvi wenye tija

Jovina Bujulu- MAELEZO. Wavuvi waishio ukanda wa maeneo ya Pwani ya Bahari ya Hindi upande wa Tanzania Bara na Zanzibar wanatarajia kunufaika na elimu ya ukuzaji viumbe kwenye maji na teknolojia sahihi ya kupambana na mabadiliko ya tabia nchi kupitia mradi wa Udhibiti wa Uvuvi na Maendeleo Shirikishi Kusini Magharibi mwa Bahari ya Hindi (SWIOFISH). Hayo yamesemwa jijini Dar es …