AccessBank Yawaletea Wajasiliamali Akaunti Isiyo na Gharama Sabasaba
BANKI ya ‘AccessBank’ inayoshiriki Maonyesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere, Sabasaba jijini Dar es Salaam imeendelea kutambulisha akaunti yake ya ‘RAHISI’ yenye mvuto mkubwa kwa wajasiliamali mbalimbali. Akizungumza leo kwenye Banda la AccessBank kwenye maonesho ya Sabasaba, Ofisa Masoko wa banki hiyo, Sijaona Simon alisema Rahisi …
Wateja NMB Sasa Kupata Huduma za Vifurushi vya Star Times…!
BENKI ya NMB Tanzania imeingia makubaliano ya kibiashara na kampuni ya Star Times ambapo kwa sasa wateja wa Star Times wanaweza kulipia huduma hizo kwenye tawi lolote la Benki ya NMB au moja kwa moja kwa wajeta wa NMB waliojiunga na huduma za kibenki kwa njia ya simu za mkononi. Ushirikiano huo umezinduliwa jijini Dar es Salaam Makao Makuu ya …
Tigo Tanzania Wazindua Huduma ya ‘NITIGOPESA’
TIGO Tanzania imetangaza kwamba wateja kutoka mitandao yote hivi sasa wanaweza kutuma na kupokea pesa kwa mteja yeyote wa Tigo nchini kupitia huduma salama na ya uhakika ya Tigo Pesa. Hatua hiyo imetangazwa wakati wa kuzindua kampeni mpya inayojulikana, ‘NITIGOPESA’ ambayo lengo lake kuu ni kuhakikisha wateja kutoka mitandao yote mikubwa ya simu wanaweza kufanya huduma zao za fedha kwa …
Kampuni ya Africa Internet Group Yaunganisha Makampuni Yake Pamoja
Jumla ya kampuni saba zimeungana za Jumia Travel, Jumia Food, Jumia Deals, Jumia House, Jumia Jobs na Jumia Car na kutoka na Jumia’s ecosystem.
Kagame Kufungua Maonesho ya 40 ya Biashara Dar
Na Dotto Mwaibale RAIS Paul Kagame wa Rwanda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa Maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam yanayotarajiwa kuanza Juni 28,2016 hadi Julai 8,2016 ambayo yatafunguliwa rasmi Julai 1,2016 na Rais huyo akiambatana na mwenyeji wake Rais Dk.John Magufuli. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar …