Mauzo DSE Yashuka kwa Asilimia 81

Na Ally Daud-Maelezo MAUZO katika Soko la Hisa Dar es salaam (DSE) yameshuka kwa asilimia 81 kutoka Tsh. Bilioni 9 mpaka kufikia shilingi bilioni 1.7 kutokana na kushuka kwa idadi ya uuzaji wa hisa kufikia shilingi 340,000 kwa wiki hii. Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam Afisa Mwandamizi wa masoko wa DSE, Bi. Mary Kinabo amesema …

Mtandao wa Jumia Tanzania Watoa Ofa kwa Wateja

      MTANDAO unaotoa huduma za mauzo na manunuzi ya bidhaa kupitia intaneti nchini Tanzania ‘Jumia Market-Tanzania’ umetangaza ofa maalumu ya punguzo la bei kwa wateja watakao nunua bidhaa kupitia App ya Jumia. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Meneja wa Jumia Tanzania, Lauritz Elmshauser alisema punguzo hilo ni la shilingi 5,000 kwa mteja yoyote atakayefanya …

TPSF, Pietro Fiorentini enter partneship to organize private sector workshop on Uganda-Tanzania Crude Oil Pipeline Project

    The Director of Pietro Fiorentini (TZ), Mr. Abdulsamad Abdulrahim (Centre) speaks to the media on the partnership between Pietro Fiorentini and Pietro Fiorentini to organize private sector workshop on Uganda-Tanzania Crude Oil Pipeline Project on 16th September 2016. The workshop will be held at the Dar es Salaam Serena Hotel on Tuesday, 27th September 2016. On his right and left …

Wafanyabiashara Kukutana Kongo Kujadili Changamoto

  Na Lilian Lundo – MAELEZO ZAIDI ya wafanyabiashara 100 kutoka Tanzania na Kongo wanatarajia kushiriki kongamano la biashara litakalofanyika Lubumbashi Kongo Septemba 22 mwaka huu. Lengo la Kongamano hilo ni kuimarisha uhusiano wa kibiashara, kuongeza kiasi cha mauzo ya nje na kuboreshwa mazingira mazuri ya biashara kati ya nchi hizo mbili. “Wafanyabiashara wa Tanzania wana nafasi kubwa ya kupata …

TPB Yatoa Msaada wa Madawati Shule ya Msingi Mbande

          BENKI ya Posta Tanzania (TPB) imetoa msaada wa madawati 43 yenye thamani ya Milioni 3.5 kwa Shule ya msingi Mbande iliyopo kata ya Chamanzi Wilaya ya Temeke. Akizungumza katika hafla ya makabidhiano ya madawati hayo mwishoni mwa wiki Ofisa Mawasiliano wa TPB Chichi Banda, alisema shule hiyo ilituma maombi kwao kwa ajili ya kutatuliwa changamoto …