Wajasilia Watakiwa Kujikita Katika Ufugaji wa Kuku

Na Ferdinand Shayo,Arusha. Wajasiriamali nchini wametakiwa kujikita katika Ufugaji wa kuku wa Kienyeji na kisasa ili waweze kunufaika kiuchumi kufuatia ongezeko la uhitaji mkubwa wa mayai na nyama katika maeneo ya mengi hususan kwa wafanyabiashara wa vyakula. Hayo yameelezwa na Mjasiriamali Boniventura Shiyo anayejihusisha na ufugaji huo amesema kuwa kwa sasa biashara hiyo imemuongezea kipato ambacho anakitumia kujiletea maendeleo pamoja …

MUWSA Yasaidia Madawati Shule ya Msingi Mandela, Moshi

  Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Said Mecky Saidiq akiwasili katika shule ya msingi Mandela iliyopo kata ya Bomabuzi wilaya ya Moshi kwa ajili ya kupokea msaada wa Madawati yaliyotolewa na Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira mjini Moshi (MUWSA). Wanafunzi katika shule ya Msingi Mandela wakiimba nyimbo wakati wakipokea wageni waliofika katika tukio la kukabidhi madawati. Mkurugenzi …

Kivuko cha Mv. Magogoni Charudi Kazini Dar

Kivuko cha Mv. Magogoni KIVUKO cha MV. Magogoni kimepokelewa na kuanza kazi rasmi ya kutoa huduma za usafirishaji kati ya eneo la Kigamboni na Magogoni mara baada ya kukamilika kwa ukarabati wake mkubwa. Akizungumza jijini Dar es salaam mara baada ya kukipokea kivuko hicho Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Eng. Joseph Nyamhanga amesema …

Waziri Muhongo Kuwapa Ruzuku Wachimbaji Madini Wadogo

  Na Daudi Manongi, MAELEZO-Dar es Salaam SERIKALI kupitia Wizara ya Nishati na Madini imepanga kuwapatia ruzuku wachimbaji wadogo wa madini ili kuongeza mchango wa madini katika pato la taifa kutoka asilimia 3.5 ya sasa hadi 10. Hayo yamesemwa na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo wakati wa mahojiano ya kipindi maalum cha Tunatekeleza kinachorushwa na kituo cha …

Eng. Sangeu: Toeni Elimu ya Mazingira kwa Wananchi

Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Usalama na Mazingira (Mazingira), wa Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Melania Sangeu amezungumzia umuhimu wa Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS),kushirikiana na Halmashauri za wilaya katika kuhifadhi machimbo ya mawe na mchanga yaliyotumiwa kwa shughuli za ujenzi wa barabara ili kulinda mazingira na kuepusha ajali. Eng. Sangeu amesema hayo mjini Katesh wilayani Hanang alipokuwa akikagua …

Wizara ya Elimu Yawaasa Vijana Kutumia Elimu Kujiajiri

Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO Dar es Salaam SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi imewaasa vijana waliomaliza shule kuacha kubweteka bali watumie elimu waliyoipata kujitafutia ajira ili kukabiliana na changamoto ya ukosefu wa ajira nchini. Kauli hiyo imetolewa Jijini Dar es Salaam na Kaimu Kamishna wa Elimu kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi Teknolojia na Mafunzo …