Upangaji Bora Matumizi Ardhi Utapunguza Migogoro ya Ardhi-RC Moro

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Stephen Kebwe akipongeza hatua ya upimaji wa ardhi na kuahidi kuendelea kutembelea kuona maendeleo. Bw. Ally Amri(kushoto) ambaye ni  Land Surveyor akitoa maelezo kwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Stephen Kebwe namna zoezi la upimaji linavyofanyika.  Christian Thomas (aliyevaa shati la blue) ambaye ni mwenyekiti wa kijiji akimwelezea Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Stephen Kebwe namna …

Prof. Mbarawa Atoa Miezi Sita Upanuzi Uwanja wa Ndege Mwanza

    WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa amemtaka Mkandarasi wa kampuni ya Beijing Construction Engineering Group anayejenga uwanja wa ndege wa Mwanza kumaliza kazi ya upanuzi wa uwanja huo ifikapo mwezi Februari Mwakani. Profesa Mbarawa ametoa kauli hiyo alipokuwa akikagua kazi ya ujenzi na upanuzi wa uwanja wa ndege wa Mwanza pamoja na daraja la watembea …

Hatutaki Ajali, Tunataka Kuishi Salama – Kamanda Mpinga

  Na Mwandishi Wetu JESHI la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani limetangaza tarehe ya kuanza kwa maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani ambapo mwaka huu inatarajia kufanyika kitaifa Mkoani Geita. Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, DCP Mohamed Mpinga alisema maadhimisho ya mwaka huu yamepewa kauli …

Mkuu wa Wilaya Awapongeza Wamasai Kuacha Mila Potofu

Na Mathias Canal, Kilimanjaro MKUU wa Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro Rosemary Staki Senyamule amewapongeza baadhi ya vijana wa kimasai kwa kuachana na imani potofu na hatimaye kuanza kumwabudu Mungu kwa kuhudhuria Misa mbalimbali katika makanisa. Pongezi hizo zimetolewa na Mkuu huyo wa Wilaya hiyo wakati wa sherehe maalumu kwa waliokuwa vijana wa Kimasai (Morani) kuingia hatua kubwa ya uzeeni …

DC Mtaturu Aitaka Shanta Gold Mining Kulipa Fidia…!

Na Mathias Canal, Singida KAMPUNI ya Uchimbaji wa Madini ya dhahabu (Shanta Gold Mining Limited) iliyopo katika kijiji cha Sambaru Kata ya Mang’onyi Wilayani Ikungi, Mkoani Singida imetakiwa kuwalipa wananchi 69 waliosalia kulipwa fidia zao kwa ajili ya kupisha mradi wa uchimbaji dhahabu. Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Wilaya hiyo, Miraji Jumanne Mtaturu kufuatia malalamiko ya wananchi wa maeneo …

Profesa Mbarawa Akagua Athari za Tetemeko la Ardhi Kagera

      WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa amekagua athari za tetemeko la ardhi lililoikumba miundombinu ya barabara katika mkoa wa Kagera na kujionea athari zilizojitokeza katika mkoa huo. Prof. Mbarawa amejionea athari za tetemeko la ardhi katika barabara ya Rwamishenye hadi Bandari ya Bukoba yenye urefu wa KM 4.6 ambayo imeathirika mita 60 na barabara …