MKURUGENZI wa Jiji la Arusha, Athuman Kihamia amewasimamisha watumishi wawili wa kituo cha Afya cha Kaloleni kwa tuhuma za kutoweka kwa dawa na vitendanishi vya thamani ya shilingi milioni mbili. Kwa wa taarifa iliyotolewa na Afisa Tawala wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Frank Sanga waliosimamishwa ni Mfamasia Zephania Mtaturu na Msimamizi wa Maabara, Joyce Kitinye. Katika maelezo ya …
Waziri Mwigulu Ahaidi Kutatua Changamoto ya Makazi ya Askari
Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Mhe.Mwigulu Nchemba, alipofanya ziara kwenye makazi ya askari ya kigoto yalipopo Kata ya kirumba Manispaa ya Ilemela Jijini Mwanza hii leo. Wizara ya Mambo ya Ndani nchini imeahidi kutatua changamoto mbalimbali zinazovikabili vyombo vya ulinzi na usalama ikiwemo uhaba wa makazi na sale za askari ili kufanikisha vyombo hivyo kufanya kazi kwa weledi na …
Serikali Ilivyojidhatiti Ujenzi wa Maghala ya Vyakula
Na Ismail Ngayonga, MAELEZO-Dar Es Salaam SEKTA ya kilimo inayojumuisha ukulima, ufugaji na uvuvi, imeendelea kuwa sekta kiongozi. katika kutoa ajira na kuwa tegemeo la maisha kwa asilimia 75 ya Watanzania wanaoishi Vijijini. Kujitosheleza kwa chakula ni muhimu kwa usalama na utulivu wa nchi. Taarifa ya Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi zinaonyesha kuwa kiwango cha kujitegemea kwa chakula kimeongezeka …
Magic FM Yafunguliwa, Radio 5 Yaendelea Kusota…!
KAMATI ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania imekifungulia Kituo cha Radio cha Magic FM na kukipa masharti, huku ikiendelea kukifungia kituo cha Radio 5 cha jijini Arusha. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Maudhui, Joseph Mapunda Magic FM imefunguliwa kuanzia kesho na inatakiwa kumuomba radhi Rais wa Tanzania, John Pombe …
Room to Read na Maadhimisho ya Siku ya Kusoma Vitabu…!
Ofisa Elimu Mkoa wa Dar es Salaam, Raymond Mapunda (katikati), akisoma hutuba kwa niaba ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), George Simbachawene wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Kusoma Vitabu chini ya Hema Duniani yaliyofanyika Ukumbi wa Karimjee Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa Taasisi ya Room to …
Wafanyabiashara Kukutana Kongo Kujadili Changamoto
Na Lilian Lundo – MAELEZO ZAIDI ya wafanyabiashara 100 kutoka Tanzania na Kongo wanatarajia kushiriki kongamano la biashara litakalofanyika Lubumbashi Kongo Septemba 22 mwaka huu. Lengo la Kongamano hilo ni kuimarisha uhusiano wa kibiashara, kuongeza kiasi cha mauzo ya nje na kuboreshwa mazingira mazuri ya biashara kati ya nchi hizo mbili. “Wafanyabiashara wa Tanzania wana nafasi kubwa ya kupata …