Ukatili kwa Mwanafunzi; Waziri Amuadhibu Mkuu Sekondari ya Kutwa Mbeya

Na Frank Shija, MAELEZO. MAMLAKA husika ya nidhamu kwa walimu imeagizwa kumvua madaraka Mwalimu Mkuu wa Shule ya Kutwa ya Sekondari ya Mbeya, Mwl. Magreth Haule kufuatia kutotoa taarifa juu ya tukio la kushambuliwa kwa mwanafunzi Kidato cha tatu Shule hiyo Sebastian Chingulu. Ikizungumza na mwandishi maalum kutoka Idara ya Habari –MAELEZO, Jijini Dar es Salaam ambapo, Waziri wa Nchi …

Rais Magufuli Amfagilia Bakhresa, Aipa Masharti TANESCO…!

       Waziri wa viwanda,  Biashara na Uwekezaji Mhe Charles Mwijage (kushoto) na katibu Mkuu wake Dkt. Adelhelm Meru wakiongea na Mwenyekiti wa makampuni ya Bakhressa Group Mzee Said Salim Bakhressa wakati wakimsubiri Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kuwasili kwenye sherehe za ufunguzi wa kiwanda cha kusindika matunda cha Bakhressa Food Products kijijini Mwandege wilaya …

TAMISEMI Yataka Serikali za Mitaa Kupima Mipaka ya Asili

  Na Eliphace Marwa – Maelezo WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, TAMISEMI, George Simbachawene amewaagiza Wakurugenzi wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa waanzishe zoezi la kubainisha mipaka ya asili ya maeneo yote na kuyapima na kuhakikisha yana hati. Akizungumza na waandishi wa habari Ofisini kwake Simbachawene amesema kuwa kuna tatizo kubwa la uvamizi wa maeneo ya Shule za Msingi, …

Kata ya Mabwepande Dar Walia Zahanati Yao Kufungwa

   Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kata ya Mabwepande, Abdallah Kunja, akizungumza na mwandishi wa mtandao huu kuhusu changamoto mbalimbali pamoja na kufungwa kwa zahanati hiyo. Dotto Mwaibale   WAKAZI wa Kata ya Mabwepande Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam wameiomba manispaa hiyo kuifungua zahanati yao iliyofungwa kwa muda mrefu ili waondokane na adha ya kufuata huduma za afya …

Mkutano Mkuu UTPC Wafanyika Mkoani Mwanza…!

  Rais wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC, Deo Nsokolo, akifungua Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC. Mkutano huo unajadili masuala mbalimbali ikiwemo Mpango Mkakati wa UTPC kwa mwaka 2016/20 uliofadhiriwa na Shirika la Sida. Wajumbe wa bodi, UTPC, wakiwa kwenye mkutano huo. Mwenyekiti wa Mara Press Club, Mugini Jacob (kushoto) …

Mwanafunzi Aliyepigwa Kinyama na Walimu; Waziri Azungumza

Taarifa rasmi za tukio la kupigwa Mwanafunzi MNAMO Tarehe 28.9.2016, mwanafunzi aitwaye Sebastian Chinguku wa form 3A mbeya day sec school aishie Uyole alipigwa na walimu watatu, Mwl Frank Msigwa, John Deo UDSM na Sanke Gwamaka wa Nyerere Memorial, wote wakiwa mafunzo. Mwl Frank alitoa assignment ya Kingereza na baadhi ya wanafunzi hawakufanya akiwepo Sebastian hakufanya, darasani mwl alimpiga kofi …