Ofisa Ufuatiliaji na Tathmini wa Shirika la Equality for Growth (EfG), Shaban Rulimbiye (kushoto), akiwaongoza kufanya usafi Soko la Temeke Sterio Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliwa ni kuunga mkono jitihada za Rais Dk. John Magufuli katika suala zima la usafi wa mazingira. Msaidizi wa kisheria katika soko hilo, Batuli Mkumbukwa akifanya usafi. Wasaidizi wa kisheria wakiwa …
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu Azinduwa Kituo cha Kuendeleza Wauguzi
Habari/Picha Na Ally Daud BARAZA la Wauguzi na Wajunga nchini wametakiwa kutowaonea aibu wale wote wanaoanzisha vyuo vya afya kama mradi wa kujiingizia fedha bila ya kuwa na taaluma hiyo kwani kunapelekea kuhatarisha Maisha na afya za watanzania. Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu wakati akiweka jiwe la …
Mama Samia Suluhu Kuongoza Kampeni ya Matibabu Saratani ya Matiti
KAMPENI hiyo itazinduliwa kesho katika Uwanja wa Furahisha Jijini Mwanza na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan na baadaye kufanyika kwa siku mbili bure. Kutoka kushoto ni Dk. Mary Charles ambaye ni Makamu wa Rais MEWATA, Mganga Mkuu mkoa wa Mwanza, Dk. Leonald Subi, Rais wa MEWATI, Dk. Serafina Mkuwa, Mwenyekiti Kamati ya Kampeni na Mjumbe kamati tendaji MEWATA, Dk. …
Jumia Market Launches Black Friday 2016 This November
JUMIA Market Tanzania announces the launch of Black Friday this month providing customers more deals than ever before. Jumia Market aims to give back to the community with revolutionary discounts which will be available from the week of 21st November towards the actual day of the event on 25th November, Black Friday. It’s all about deals and bargain …
Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Yatoa Siku 30 kwa Wadaiwa Sugu
Na Frank Shija, MAELEZO BODI ya Mikopo ya wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) kupewa notisi ya siku thelethini (30) wawe wameanza kulipa madeni yao kabala hatua zaidi hazijachukuliwa dhidi yao. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Abdul – Razaq Badru alipokuwa akiongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa …
Harusi ya Bw. Louis Munishi na Mkewe Bi. Inviolata Yavutia Dar
iliyopita jijini Dar es Salaam. ” width=”800″ height=”533″ /> Bwana harusi Louis Munishi akipata picha ya kumbukumbu na mkewe Bi. Inviolata ukumbini. Ibada takatifu ya ndoa yao ilifanyika Kanisa la Bikira Maria mama wa huruma Mbezi Beach Jumamosi iliyopita jijini Dar es Salaam.[/caption] …