Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 19

Category: Michezo na Burudani

Kichuya Abeba Mpunga wa Mwezi

Posted on: October 19, 2016 - Yohana Chance
Kichuya Abeba Mpunga wa Mwezi

Mshambuliaji Shiza Kichuya wa Simba SC amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa Septemba msimu wa 2016/2017. Kichuya ambaye ni mshambulaji aliwashinda…

Continue Reading....

Azam, Mtibwa Vitani Leo Taifa

Posted on: October 19, 2016 - Yohana Chance
Azam, Mtibwa Vitani Leo Taifa

Michezo sita itafanyika leo Jumatano Oktoba 19, mwaka huu wakati keshokutwa Alhamisi Oktoba 20, kutakuwa na mchezo mmoja tu. Mchezo wa leo Na. 86 wa…

Continue Reading....

Acha Kuchezea Moto wa Leicester City

Posted on: October 19, 2016 - Yohana Chance
Acha Kuchezea Moto wa Leicester City

Klabu ya soka ya Leicester City imeendeleza wimbi la ushindi katika michuano ya ligi binya magwa barani Ulaya baada ya kuibuka na ushindi wa bao…

Continue Reading....

Liverpool, Manchester United Hakuna Mbabe

Posted on: October 18, 2016 - Yohana Chance
Liverpool, Manchester United Hakuna Mbabe

Mchezo wa kusisimua wa ligi kuu ya soka England umemalizika kwa suluhu ya bila kufungana. Katika mchezo huo kipindi cha kwanza timu zote zilishambuliana kwa…

Continue Reading....

Didier Drogba Agoma Kuanzia Benchi

Posted on: October 17, 2016October 17, 2016 - Yohana Chance
Didier Drogba Agoma Kuanzia Benchi

Aliyekuwa mchezaji wa Chelsea Didier Drogba alikataa kuichezea Montreal Impact baada ya kuambiwa hataanzishwa dhidi ya Toronto ,kulingana na kocha Mauro Biello. Drogba mwenye umri…

Continue Reading....

Asee Diamond Platnumz na Harmonize Wafanya Kweli Majuu

Posted on: October 17, 2016 - Yohana Chance
Asee Diamond Platnumz na Harmonize Wafanya Kweli Majuu

Afrika Mashariki imekuwa na furaha kubwa wikendi kwenye tuzo za kila mwaka za Jarida la mziki Afrika, maarufu kama Afrimma Awards baada ya wasanii wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari