Mshambuliaji wa Uingereza Jamie Vardy atakosa mechi ya klabu yake Leicester City dhidi ya Manchester United Jumapili baada ya kuongezewa adhabu kutokana na utovu wa…
Continue Reading....Author: Yohana Chance
Alfred Lukas Afisa Habari Mpya wa TFF
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemteua Alfred Lucas kuwa Afisa Habari na Mawasiliano mpya wa shirikisho kuanzaia leo Aprili 27, 2016. Alfred anachukua…
Continue Reading....Kamati ya Nidhamu ya TFF Kukaa Jumapili
Kikao cha Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kinatarajiwa kufanyika Jumapili, Mei Mosi 2016 jijini Dar es salaam. Kamati hiyo…
Continue Reading....Msajili wa vilabu na Vyama vya Michezo Atoa Rai
Kwa mujibu wa sheria ya Baraza la Michezo ya mwaka 1968 na kama ilivyorekebishwa mwaka 1971, Msajili wa vilabu na vyama vya michezo ndiye mwenye…
Continue Reading....Manchester City Washindwa Kuutumia Vyema Uwanja Wake Kwenye UEFA
Ligi ya Mabingwa ulaya imeendelea kwa mchezo mmoja usiku wa kuamkia leo katika uwanja wa Etihad ambapo Man City waliikaribisha Madrid katika nusu fainali ya…
Continue Reading....Taifa Stars Kujipima Nguvu na Harambee Stars
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager, inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa na timu ya Taifa…
Continue Reading....