Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Yohana Chance
  • Page 157

Author: Yohana Chance

Mnyama Simba Aunguruma Taifa, Yanga Yapigishwa Kwata Mbeya

Posted on: February 3, 2016February 3, 2016 - Yohana Chance
Mnyama Simba Aunguruma Taifa, Yanga Yapigishwa Kwata Mbeya

Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea tena leo February 3 kwa michezo mitano kupigwa katika viwanja tofauti tofauti Tanzania, klabu ya Dar Es Salaam Young…

Continue Reading....

Klopp amwonya Guardiola kuhusu Ligi ya Uingereza

Posted on: February 3, 2016 - Yohana Chance
Klopp amwonya Guardiola kuhusu Ligi ya Uingereza

Kocha wa Liverpool Jürgen Klopp amemwonya Kocha wa Bayern Munich Pep Guardiola kuhusu msongamano wa orodha ya michuano ya Ligi Kuu ya Uingereza Guardiola ambaye…

Continue Reading....

Kumbe Sio Ipo Bongo tu, Hata Neymar Alidalaliwa

Posted on: February 3, 2016February 3, 2016 - Yohana Chance
Kumbe Sio Ipo Bongo tu, Hata Neymar Alidalaliwa

Mchezaji wa Brazil Neymar aliitwa Mahakamani kutoa ushahidi katika mahakama moja ya Uhispania kuhusu madai ya ufisadi yanayozunguka uhamisho wake katika kilabu ya Barcelona. Aliyekuwa…

Continue Reading....

Kuondoka kwa Pep Guardiola Agawa Makundi klabu ya Bayern

Posted on: February 3, 2016February 3, 2016 - Yohana Chance
Kuondoka kwa Pep Guardiola Agawa Makundi klabu ya Bayern

Kuna ripoti za kuwapo mvutano katika kikosi cha BAYERN MUNICH ambapo jarida la michezo la Ujerumani Kicker limemnukuu mchezaji mmoja akisema kuwa mazingira siyo mazuri…

Continue Reading....

Adele Asisitiza Songi lake Jipya la Hello Hajaliruhusu Kupigwa Bila Idhini

Posted on: February 3, 2016 - Yohana Chance
Adele Asisitiza Songi lake Jipya la Hello Hajaliruhusu Kupigwa Bila Idhini

Mwanamuziki Muingereza aliyegonga vichwa habari na kukonga nyoyo za mamilioni ya watu kote duniani kwa wimbo wake maararufu ”Hello” Adele amekariri kuwa hajatoa idhini yeyote…

Continue Reading....

Malinzi Ampongeza Rais Kikwete Kwa Kukubali Ombi la CAF

Posted on: February 3, 2016 - Yohana Chance
Malinzi Ampongeza Rais Kikwete Kwa Kukubali Ombi la CAF

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amempongeza Rais wa awamu ya nne Jakaya Kikwete kwa kukubali uteuzi wa Shirikisho la…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari