
Usiku huu Septemba 15, 2011 ndani ya Viwanja vya TGNP linaendelea Tamasha la Kumi la Jinsia, wanaharakati wanaoshiriki Tamasha hilo wanakutana kwa pamoja kwenye hafla ya Usiku wa Mwanamke wa Kiafrika. Hapa kuna burudani na shughuli mbalimbali zinazofanywa na wanaharakati kienzi utamanduni wa Mwafrika. Zifuatazo ni picha mbalimbali ndani ya hafla hiyo;








