
wa Malaria Safe Program, Nicholas Nderungo (kulia) baadhi ya vyandarua vilivyotolewa na kampuni
hiyo kusaidia mapambano ya ugonjwa wa malaria Tanzania. TTCL ilishiriki katika matembezi ya
kilometa tano juzi yaliofanyika sambamba na maadhimisho ya siku ya malaria duniani kwenye Viwanja
vya Farasi jijini Dar es Salaam na kutoa vyandarua 50 kuchangia mapambano ya malaria.

yakishiriki matembezi ya kilometa tano juzi yaliofanyika sambamba na maadhimisho ya siku ya
malaria duniani kwenye Viwanja vya Farasi jijini Dar es Salaam ikiwa ni ishara ya kampuni hizo
kuonesha mapambano na ugonjwa wa malaria.
yakishiriki matembezi ya kilometa tano kuashiria mapambano na ugonjwa wa malaria wakifuatilia hotuba mbalimbali kwenye viwanja vya farasi jijini Dar es Salaam.
yakishiriki matembezi ya kilometa tano kuashiria mapambano na ugonjwa wa malaria wakifuatilia hotuba mbalimbali kwenye viwanja vya farasi jijini Dar es Salaam.
yakishiriki matembezi ya kilometa tano kuashiria mapambano na ugonjwa wa malaria wakifuatilia hotuba mbalimbali kwenye viwanja vya farasi jijini Dar es Salaam.





yakishiriki matembezi ya kilometa tano kuashiria mapambano na ugonjwa wa malaria wakifuatilia hotuba mbalimbali kwenye viwanja vya farasi jijini Dar es Salaam.
TTCL Washiriki Matembezi Siku ya Malaria Duniani, Wasaidia Vyandarua
