Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Sekta ya Ujenzi

Tag: Sekta ya Ujenzi

Naibu Waziri Injinia Ngonyani Aridhishwa na Kasi ya Utendaji wa TBA

Posted on: March 1, 2017 - jomushi
Post Tags: Sekta ya Ujenzi
Naibu Waziri Injinia Ngonyani Aridhishwa na Kasi ya Utendaji wa TBA

NAIBU Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Eng. Edwin Ngonyani ameupongeza Wakala wa Majengo Nchini (TBA), kwa jitihada wanazozifanya katika kuongeza mapato na kununua vifaa…

Continue Reading....

Prof. Mbarawa Atoa Miezi Sita Upanuzi Uwanja wa Ndege Mwanza

Posted on: September 14, 2016 - jomushi
Post Tags: Sekta ya Ujenzi
Prof. Mbarawa Atoa Miezi Sita Upanuzi Uwanja wa Ndege Mwanza

    WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa amemtaka Mkandarasi wa kampuni ya Beijing Construction Engineering Group anayejenga uwanja wa ndege wa…

Continue Reading....

Waziri Prof Mbarawa Azinduwa Kozi ya Urubani NIT

Posted on: August 31, 2016 - jomushi
Post Tags: Sekta ya Ujenzi
Waziri Prof Mbarawa Azinduwa Kozi ya Urubani NIT

      WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa amekitaka Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), kuhakikisha kinatoa marubani waliobobea katika masuala…

Continue Reading....

Ujenzi wa Reli ya Kisasa Kuanza Mwezi Desemba

Posted on: August 12, 2016 - jomushi
Post Tags: Sekta ya Ujenzi
Ujenzi wa Reli ya Kisasa Kuanza Mwezi Desemba

    WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa amesema ujenzi wa reli ya kisasa (standard gauge) unatarajiwa kuanza mwezi Desemba mwaka huu…

Continue Reading....

Eng. Nyamhanga Awataka Waliolipwa Fidia Kupisha Ujenzi Barabara ya Arusha Bypass

Posted on: July 14, 2016 - jomushi
Post Tags: Sekta ya Ujenzi
Eng. Nyamhanga Awataka Waliolipwa Fidia Kupisha Ujenzi Barabara ya Arusha Bypass

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, (Sekta ya Ujenzi) Eng. Joseph Nyamhanga amewataka wakazi wa Arusha ambao wameshalipwa fidia kupisha ujenzi wa…

Continue Reading....

Profesa Mbarawa Afagilia Upanuzi Uwanja wa Ndege Dodoma

Posted on: July 13, 2016 - jomushi
Post Tags: Sekta ya Ujenzi
Profesa Mbarawa Afagilia Upanuzi Uwanja wa Ndege Dodoma

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa ameridhishwa na maendeleo ya upanuzi wa uwanja wa ndege wa Dodoma ambapo mpaka sasa ujenzi huo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
thehabari