Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Albino

Tag: Albino

UTSS Yatoa Changamoto kwa Redio za Jamii Juu ya Albino

Posted on: May 5, 2015May 5, 2015 - jomushi
Post Tags: Albino, Redio za Jamii, UTSS
UTSS Yatoa Changamoto kwa Redio za Jamii Juu ya Albino

Meneja wa Kituo cha Habari na Mawasiliano cha Redio Sengerema mkoani Mwanza Bw. Felician Ncheye akiwakaribisha mameneja wa Redio za jamii nchini (hawapo pichani) walioshiriki…

Continue Reading....

Prisca Mpesya Mama Anayeteseka na Watoto Albino

Posted on: March 17, 2015 - jomushi
Post Tags: Albino, Prisca Mpesya
Prisca Mpesya Mama Anayeteseka na Watoto Albino

Ndugu zangu, LICHA ya kuuguza jeraha la kichwani pamoja na kumuuguza mtoto wake mdogo mwenye ulemavu wa ngozi (Albino) aliyekatwa mkono na watu wasiojulikana, Bi.…

Continue Reading....

Mwanahabari Ajitolea Kupambana na Mauaji ya Albino

Posted on: March 5, 2015 - jomushi
Post Tags: Albino, Mauaji, mwanahabari
Mwanahabari Ajitolea Kupambana na Mauaji ya Albino

Na Mwandishi Wetu MMOJA wa watu wenye ulemavu wa ngozi, albino na mwanahabari shupavu kutoka kampuni ya Mwananchi Communication, Henry Mdimu amejitolea kuwa balozi wa hiyari kupinga…

Continue Reading....

Wanasiasa Tanzania Wahusishwa na Mauaji ya Albino!

Posted on: February 26, 2015February 26, 2015 - Rungwe Jr.
Post Tags: Albino, Mauaji, serikali, tanzania
Wanasiasa Tanzania Wahusishwa na Mauaji ya Albino!

Katika makala iliyopewa jina la “Love in a Time of Fear: Albino Women’s Stories From Tanzania”, iliyorushwa kwenye gazeti la intaneti la Huffington Post (tarehe 25/10/2013…

Continue Reading....

Mauaji Haya ya Albino Mpaka Lini?

Posted on: February 26, 2015February 26, 2015 - Rungwe Jr.
Post Tags: Albino, Mauaji, serikali, tanzania
Mauaji Haya ya Albino Mpaka Lini?

      Na Evarist Chahali 25/2/2015   “Tanzania Tanzania, nakupenda kwa moyo wote, Nchi yangu Tanzania, jina lako ni tamu sana Nilalapo nakuwaza wewe,…

Continue Reading....

Albino Kumfuata Rais Kikwete Ikulu Kuhoji Vifo

Posted on: February 20, 2015 - jomushi
Post Tags: Albino, Ikulu, Vifo
Albino Kumfuata Rais Kikwete Ikulu Kuhoji Vifo

 Mjumbe wa Chama cha Maalbino Tanzania, Sophia Mhando (katikati), akizungumza kwa uchungu katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu vitendo vya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
thehabari