
MWANAMKE maeneo anuai amekuwa akikumbana na changamoto mbalimbali za maisha ya kila siku, lakini kwa kundi la wanawake vijijini changamoto hizi zimekuwa ni maradufu ukilinganisha na zile za wanawake wanaoishi mjini na wenye fursha mbalimbali. Zifuatazo ni baadhi ya changamoto hizi ambazo hukumbana nazo wanawake vijijini kwa makundi anuai katika matukio ya picha zilizopigwa na mwandishi wa dev.kisakuzi.com maeneo husika.










