Mfalme wa Morocco Mohammed VI Awasili Tanzania

Mfalme wa Morocco Mohammed VI (aliyetangulia mbele) akishuka katika Ndege mara alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius K. Nyerere kwa ajili ya ziara ya siku tatu ya kikazi Jijini Dar es Salaam.
Mfalme wa Morocco Mohammed VI (aliyetangulia mbele) akishuka katika Ndege mara alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius K. Nyerere kwa ajili ya ziara ya siku tatu ya kikazi Jijini Dar es Salaam.
Akisalimiana na Dk. Magufuli
Akisalimiana na Dk. Magufuli
akipigiwa mizinga
akipigiwa mizinga

akikagua gwaride la heshima lililoandaliwa kwa heshima yake

Dk. Magufuli akimtambulisha Makamu wa Rais mama Samia kwa mgeni
Dk. Magufuli akimtambulisha Makamu wa Rais mama Samia kwa mgeni
Mazungumzo Ikulu
Mazungumzo Ikulu

Akitambulishwa kwa rais wa Zanzibar

Related Post