
Wananchi wa Kijiji cha Kibena katika Jimbo la Kalenga wakimsikiliza mgombea ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Bw. Godfrey Mgimwa hayupo pichani wakati akihutubia mkutano huo.

Wananchi wa Kijiji cha Kibena katika Jimbo la Kalenga wakimsikiliza mgombea ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Bw. Godfrey Mgimwa hayupo pichani wakati akihutubia mkutano huo.