


Mgeni rasmi na Mwanaharakati kutoka nchini Uganda, Bi. Miriam Mutembe akisalimia waalikwa wengine wa tamasha la jinsia.

Tamasha la Jinsia Tanzania 2013 .



Baadhi ya wanatamasha pamoja na wageni anuai wakifuatilia mada na burudani zinazotolewa katika uwanja wa tamasha hilo.







