Matukio Ajali ya Kuporomokwa kwa Ghorofa Leo Dar

Mwili wa mmoja wa walioangukiwa na jengo hilo ukifukuliwa
Mwili huo ukipelekwa kuhifadhiwa muhimbili
Majeneza mawili ya miili ya baadhi ya watoto waliokufa kwa kuangukiwa na ghorofa wakielekea kuzikwa
Maiti ikielekea kuzikwa
Nyuma ya watu ni kifusi ambacho inasadikiwa kufukia miili ya watu

Related Post