Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akilicharaza gitaa wakati alipowaongoza wanafamilia nyumbani kwake kumpongeza mkewe Mama Salma Kikwete wakati wa sherehe yake ya kuzaliwa na kutimiza miaka 47 jana.Picha na freddy Maro.
Mama Salma Kikwete atimiza miaka 47 JK Acharaza gitaa kumpongeza.
