4 thoughts on “Jamani Uswahilini Kunavituko, Angalia Staili ya Kuingia Chooni”
Mambo hayo ndio ya kitaa. Usidhani ni fasheni, hiyo imejengwa mahususi kwaajili ya ku-offload mzigo wakati wa msimu wa mvua. yaani mvua zikianza kunyesha mchizi anachomoa kitofali kimoko cha chini halafu ngoma inogile
Sasa mtu mnene na kama nimepata biere au bia nitapandaje hiyo ngazi wakati mwingine anateremka kitonga?
Maashaallah, nataka ramani kwa aliye design choo hicho!!
kwakweli tembea huone. maana huo sijui ni mtaa gani? na wapi?
Mambo hayo ndio ya kitaa. Usidhani ni fasheni, hiyo imejengwa mahususi kwaajili ya ku-offload mzigo wakati wa msimu wa mvua. yaani mvua zikianza kunyesha mchizi anachomoa kitofali kimoko cha chini halafu ngoma inogile
Sasa mtu mnene na kama nimepata biere au bia nitapandaje hiyo ngazi wakati mwingine anateremka kitonga?
Maashaallah, nataka ramani kwa aliye design choo hicho!!
kwakweli tembea huone. maana huo sijui ni mtaa gani? na wapi?