APO UMENENA NA KAMA TUKIIMARIKA KIHIVI TUTASONGA MBELE.
Hii inaonesha mfano mzuri kutoka ngazi za chini kuwa itikadi si kugombana sasa iwekwe minara ya dini tofauti pamoja idhihirishe kuwa dini si kugombana Mungu ibariki Afrika Mungu ibariki Tanzania.
kama Tanzania tutakuwa wakomavu kidemokrasia. Sidhani kama tutalumbana kwa mambo yasio na msingi.
Ila kama hali itabaki kuwa hivi, nadhani Tutaraji yalio wakuta Kenya na Uganda.
jaman tunakwenda wapi?
APO UMENENA NA KAMA TUKIIMARIKA KIHIVI TUTASONGA MBELE.
Hii inaonesha mfano mzuri kutoka ngazi za chini kuwa itikadi si kugombana sasa iwekwe minara ya dini tofauti pamoja idhihirishe kuwa dini si kugombana Mungu ibariki Afrika Mungu ibariki Tanzania.
kama Tanzania tutakuwa wakomavu kidemokrasia. Sidhani kama tutalumbana kwa mambo yasio na msingi.
Ila kama hali itabaki kuwa hivi, nadhani Tutaraji yalio wakuta Kenya na Uganda.